Siku zote ndege wanaofanana uruka na kupepea kwa pamoja. Polepole amekuwa aki support na kushauri mambo mengi ndani ya chama na hata kupitia vyombo vya habari akiunga mkono juhudi za Serikali kupambana na ufisadi imempendeza Rais Polepole awe mmoja wa wasaidizi wake. Hongera sana Humphrey...
Tusipende kutumia platform hii kuongelea udini, napata tabu sana watu wenye akiri timamu kuongelea udini, mtu anaye ishi katika jamii ambayo kuna dini zaidi ya moja then akaweka udini kwa watu anaowahudumia lazima apigwe vita.
Hakuna dhambi mbaya kama kuona makosa then unafumba macho kuogopa matokeo ya wewe kuchukua hatua. Hakuna mwenye hati miliki na utumishi wa umma ukifanya makosa lazima uwajibishwe hakuna kuvumiliana sasa ni kuwajibika tu no excuses
Hile sheria ya kuwalinda watoa taarifa za ualifu inahusika , platform kama hizi jamii forum zitumike kuweka uozo wazi na kusaidia serikali kufahamu maovu. Big up mtoa mada hakika umelitendea haki taifa lako tuko nyuma yako.
Swala ni kuwa na mishahara ktk ratio sawa kwa watumishi wa serikali na mashirika ya umma . Hizi tofauti zisiwe kubwa sana kati ya watumishi hapa tatizo ni board za mashirika ya umma kulipana mishahara mikubwa sana na posho huku michango ya mashirika hayo ktk pato la taifa ni kidogo sana ...
Tofautisha mambo ya chama cha Siasa na serikali na pia kumbuka hadi sasa Rais JPM Sio mwenyekiti wa chama kwa hiyo kuingilia maamuzi ya chama ktk kusherekea ni vigumu. Tusubirie wampe uenyekiti then from there we can judge
Sometimes baadhi ya wabunge wanakurupuka kuongea waonekane wameongea but tambueni Urais ni taasisi tuna matatizo mengi sana ambayo solution yake ni sisi watanzania wenyewe wala sio kwa rais wetu kwenda nje ya nchi . Wabunge wetu watusaidie kutoa hoja zinazogusa na kuleta suluhu kwa matatizo yetu...
Hakuna kokote duniani uhuru wa Soko husio na mipaka, Hata kama kuna free market lazima Serikali makini kuwepo na government intervention na pia kumbuka kuna hali ya mtaji ( the consumer rights) ni serikali Ndo msimamizi wa yote haya.
Nilitegemea bunge hili litaweka kando maswala ya ushabiki wa ki vyama badala yake sioni zaidi kutegemea mipasho na vurugu kila siku. Speaker anapaswa kuwa strong na kuendesha bunge kwa kanuni otherwise this time tutaona vurugu zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.