Recent content by KEMPANJU BOY

  1. KEMPANJU BOY

    Wakati tukisubiri vita kubwa sana kati ya Iran na Marekani

    Nikikumbuka kibri cha Sadam Hussein kipindi kile namwonea huruma Iran!! Sadam alivimba hivi hivi nakujigamba kwamba anakombora za Scad, Kwamba akivamiwa atajibu kwa kuzifuta nchi zote zitakazomsaidia U. S. A. Akapewa mda ajitafakari na kuchukua uamuzi sahihi akavimba kwa kujiona mkubwa, mda...
  2. KEMPANJU BOY

    Kuliko kuchomwa moto wa Milele ni Vyema na haki Mungu akatufanya watumwa. Tuwatumikie watakatifu huko mbinguni

    Story za Mungu na Jehanam zinanifanya nijiulize hivi Mungu busara zake ni ndogo kuliko za wazazi wanadamu? Maana kila mwanadamu azaapo mwana upambana kumkinga mwanawe na vishawishi vya dunia ili hasipotee lakini Mungu kila uchwao anapambana kumwekea mitego mipya mja wake ili anaswe na Shetani...
  3. KEMPANJU BOY

    Venezuela yashambuliwa na Marekani

    Duuuu!! Putin alishindwa nini kwa Ukraine? Amekalia kuua Raia na kuporomosha majengo wakati Comedian yuko anazurula tu.
  4. KEMPANJU BOY

    Mwenye uelewa,ujuzi au ufahamu na hili anisaidie

    Mkuu mwenzio joints kidogo zinifilisi, nilizunguka Hospitals kubwa karibia zote lakini wapi, nimekaa na ugonjwa kwa zaidi ya miaka kumi magoti yalikuwa yanajaa balaa nikitembea au kuyakunja. Nilikuja kupona kwa miti shamba kutoka Kagera huko na wewe jaribu kutumia miti shamba maana nilikuja...
  5. KEMPANJU BOY

    Hatimaye mwili wa Mpendwa wetu Joshua Mollel waagwa huko Israel tayari kurejeshwa nyumbani Tanzania!!

    Hivi HAMAS walikiwa wanaitunza vipi hii miili kwa siku zote hizi? Mbona kama sielewi
  6. KEMPANJU BOY

    Tumsaidie coach wa Yanga kupata first 11 yake

    Ila sie Watanzania Mungu anatuona haki ya nani, Kocha akiwa na first 11 tunasema kocha anakariri wachezaje kama ilivyokuwa akisemwa Fadlu na akitaka kila mtu acheze tunasema kashindwa kupata kikosi cha kwanza!! Mie siyo mwalimu lakini anachofanya kwa sasa naona yuko sahihi huwezi subiri ufike...
  7. KEMPANJU BOY

    Hivi Ndugu zangu Watanzania mnajua huku mtaani hakuna vibe la uchaguzi . Mshaurini Rais aahirishe

    Mie nikajua labda mkoani kwangu ndo hamna dalili za uchaguzi kumbe kote kote!!!
  8. KEMPANJU BOY

    Karibia vi-nchi vyote vilivyodanganywa na Urusi na China kuhusu ujamaa vimebaki na umasikini wa kutupwa

    Ujamaa una faida kwa watawala, lakini watawaliwa ni taabu tupu. Uchina na Russia wana ujamaa wakwenye makaratasi lakini ground wana uchumi wa kibepari. Ujamaa unafanya watu wachache(watawala na magenge yao) wawe miungu watu, wakati wao wanaishi kama wako peponi wananchi wao wanaubiliwa umaskini...
  9. KEMPANJU BOY

    Yanga tumeshinda ila kwa Aziz Adambwile kocha umetudanganya

    Kuna watu wanaangalia mpira wakiwa vyombo
  10. KEMPANJU BOY

    Qatar wanavuna walichopanda kwa kukubali kushirikiana na Marekani

    Najiuliza chukulia wewe ni Kiongozi wa Qatar, kati ya Viongozi wa Hamas na USA/Yahudi utachagua kuwa upande upi? Wewe angalia nchi yao Qatar ilivyojengeka kutoka kuwa jangwa mpaka kuwa hivi ilivyo then ukubali kupoteza hali iyo kisa kuwatetea Hamas?
  11. KEMPANJU BOY

    Mamlaka za Saudia zimekanusha taarifa za Pombe kuruhusiwa kuanzia 2026 nchini humo

    Kila nikiwaza kuna watu wanabanana kulipiga jiwe kwa mawe wakiamini wanampiga shetani nachoka!!! Yaani shetani umpige na jiwe???
  12. KEMPANJU BOY

    Ibada ya ijumaa chanzo chake ni Ugomvi wa Muhammad na Wayahudi

    Hivi niulize tu wakati Muhammed anaanza kuenezo unabii wake taifa la Israel (mayaudi) lilikuwepo bado?? Maana kama sijakosea kuna kihistoria kinasema Taifa la Israel lilisambaratishwa na ufalume wa Roma miaka ya 70 BC.
  13. KEMPANJU BOY

    Kazi ya dhahabu ni nini?

    Ukishajua hizi sifa kuu mbili za dhahabu basi matumizi yake makuu utayafahamu hapo hapo i) Dhahabu ndiyo metali pekee isiyopata kutu hata ukiizika miaka 1000 ukija ni kuifuta tu vumbi inabaki mpyaa ii) Dhahabu ndiyo metali pekee inayosafirisha umeme na joto kwa kasi kuliko zingine zote kwa sasa...
Back
Top Bottom