Recent content by Kembaki

  1. K

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    Sawa Kakobe sioni alipokesae haka kuwambia watu kwamba Mrema au Lowasa anafaaa la umeme sawa lkn hayo aliyoyasema muyafanyie kazi siyo kuanza kumrarua
  2. K

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    Kwani Lissu ameshindikana mahakama za kiraia umpeleke za kijeshi, acha maneno, wewe utakuwa mmojawapo wa wanaofanya mabaya hapa TZ, kama kumtolea bunduki raia mchana kweupe, kuteka na kupoteza watu
  3. K

    Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada

    The best move no kubofesha while za seikali ili tuhamishie huko watoto wetu hawa jamaaa wakiona tumehamishia serikali watadshusha tu hata chini yz hiyo being elekezi
  4. K

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru bado anaamini kuwa CCM imeishiwa pumzi?

    Please kuwa na adabu si vyema hata kama mnatofautiana mawazo lakini ni Mzee
  5. K

    Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

    Kwa hiyo ni dhambi kuwa Nyumbu wa ukawa lakini ni furaha Manyumbu wa CCM
  6. K

    Tanzania are so boring! (an article from Uganda Observer)

    Ohhoo!! good huyu yuko vizuri kwa uandishi hata atakayetaka kumarrest lazima ajihoji saana, lakini nimkumbushe kidogo mfumo wa utawala wa Gaddaf, M7, Kagame na CCM ni mmoja tu, hauna tofauti ila wao ni one man show kwetu sisi ni one part show, haiwezekani kwenye nchi iliyopevuka kidemocrasia...
  7. K

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    acha uchizi kuna watu wabinafsi kama ccm?
  8. K

    Rais Kikwete atabaki kwenye akili za Watanzania kwa muda gani?

    Nitamkumbuka kama raising aliyekaa angani muda mrefu kuliko wore dunian akiwa madarakani
  9. K

    Membe anapotosha kifo cha Balali, Lowassa hakusema atamleta Daudi Balali

    Naomba kujua elimu ya Membe tafadhali kwa anaeifahamu kwa naneno yake yale nina hamu ya kujua
  10. K

    Picha tu: Lowassa Mwanza

    Hizo picha ni za leo kabisa tena huyu mpiga picha hakuchukua sawasawa mimi nilichokuwa nakitazama kutokea Villa pack ni hatari
  11. K

    Matokeo ya jimbo la Mbowe Uchaguzi Serikali za mitaa 2014

    Kwa nini Mbowe na Kabwe na si Mbowe na Magufuri au Kikwete @ mleta uzi
  12. K

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Lengo hamna kuona TV na charger za simu ziwe chini huwezi kuchati si mnaashobokea upZ
  13. K

    Waziri anapewa heshima za mwisho Karimjee, Rais yuko Marekani

    I like this Eagle presidar
Back
Top Bottom