Recent content by Kelvin Temba

  1. K

    Mangula ataja vigezo 13 vya urais: Kama huna pisha wengine

    hapo hakuna kigezo cha uadilifu mtu ambaye hana tuhuma zozote
  2. K

    Ukitaka kufirisika ingia kwenye siasa

    ni kufirisika au kufilisika?
  3. K

    Edward Lowassa special thread

    Hana pesa nje ya nchi? kwa nini aliikataa rasimu ya Warioba
  4. K

    Muonekano wa barabara ya Ubungo baada ya marekebisho

    Hizo ni hadithi za Abunawasi. kwa hela zipi? Wafadhili wamaeshagoma kutoa pesa mpaka pesa za escrow zirudishwe.
  5. K

    CCM: Mnaitia aibu Tanzania

    [QUOTE= kwao serikali tatu ni gharama lakini kuongeza majimbo 40 sio gharama. kweli hawa wamechoka.
  6. K

    CCM: Mnaitia aibu Tanzania

    Walisema serikali tatu ni kuongeza gharama leo wanataka kuongeza majimbo 40. wakati Warioba kwenye tume yake walileta mapendekezo wabunge wasizidi 70
  7. K

    Nani wa CCM aliye na uchungu na nchi hii?

    Ukitaka kura za wananchi wewe mgombea Uraisi wa nchi hii wahakikishie wananchi kwamba huna pesa nje ya nchi hii, uwe na ujasiri wa kuwakemea walio na pesa nje ya nchi na uwape siku 30 wazirudishe. pia waambia wananchi maoni yenu yaliyotupwa na bunge la katiba yatarudihwa hasa yale yaliomo...
  8. K

    Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    Kweli Lowasa ni dhaifu kwa sababu hata ishu ya Escrow hakuwahi kuongea ili kuonyesha kama ana kerwa sasa ni Raisi gani huyo mtarajiwa. Kama anaumia anapoona umasikini wa watanzania kitakacho muongoza kama ni ile rasimu ya Warioba
  9. K

    Je Rais ajaye atakubaliana na katiba pendekezwa?

    Lowasa kama anataka uraisi na ashinde kwa kishindo basi awaahidi watanzania rasimu ya Warioba ndiyo itakayopitishwa. Maana bila hivyo hawezi kuibadilisha nchi kwa utawala huu na viongozi hawa hawa
  10. K

    IGP Mangu: Marufuku kuwa na Vikundi vya Ulinzi vya Vyama vya siasa kwani ni kinyume cha Katiba na Sheria ya nchi

    Tishio la IGP kufuta vikundi vya ulinzi za vyama vya siasa pia uhusishe na hivi vya ulinzi shirikishi kwa sababu vyote haviko kisheria. kumbuka ndiyo ninyi mlaoleta vurugu katika kusanyiko la wana siasa kwa kurushia mabomu watu halafu vurugu ndiyo zinapoanzia. kwanuni hamsubiri watu wamalize...
  11. K

    Kura ya maoni kitanzi kwa CCM

    Wewe tume ya uchaguzi ni ya CCM nani atakayetangaza matakeo?
  12. K

    Rais Kikwete atofautiana tena na Mwanasheria Mkuu, atangaza kura ya maoni April Mwakani

    Nimewahi kusema nchi hii ina Rais wawili ila watu wanamjua Kikwete tu lakini yuko Rais mwingine anayeendesha hii nchi lakini huyo amejificha. Leo Kikwete akisema ndiyo huyo aliyejificha akisema hapana kesho Kikwete naye atageuka atasema hapana lile lile alilokubali jana ndiyo.
  13. K

    Pinda akiwa Rais, mtamuona Kikwete ni bora zaidi

    kama alishindwa kutatua mgogoro wa meya wa bukoba akina Anatoli kasehemu kadogo cha nchi leo anataka nchi
  14. K

    Kura ya Meghji yazua utata mpya

    Mumewe alikuwa professor na ni mkuu wa Chuo pale Chuo cha Ushirika Moshi ni mtu wa Sumbawanga kwa mzee Pinda Uzanzibari ameupata wapi
  15. K

    NEC: Hakuna kura ya maoni bila daftari jipya

    Jamani hii tume sio ya kusimamia kura za maoni, inatakiwa tume huru. Tume hii ni ya rais kaichagua yeye sasa unategemea nini katika katiba hii. Hawawezi kusema kweli watapindua matokeo ya kura ya maoni tu. nani wa kuwauliza na sheria inasema hakuna kupinga matokeo yakishatangazwa.
Back
Top Bottom