Recent content by kelvin patrick

  1. kelvin patrick

    Tozo ni kwa sababu TRA wameshindwa kukusanya kodi vizuri

    Tatizo hii nchi wameshindwa kukunya kodi vizuri za TRA sababu kuu biashara karibu kubwa zote zinamikono ya viongozi wa hii nchi. Ukiomba risit utapigwa maneno kuwa machne mbovu na mizgo wanayonunua unakuta inapita bandarini bila ushuru. Matokeo yake wanaona ngoja watumie mbinu yakuwaumiza watu...
  2. kelvin patrick

    Ipi ina nguvu kati ya Boxer 150 na Sanlg 150?

    Kama unataka kwaajili ya matembezi au kupanda wawili na siyo mizigo chukua boxer ni pkpk nzuri saana,kikubwa zingatia service na kama kwaajili ya kazi za shamba chukua sanlg au kinglion zipo vzur sana
  3. kelvin patrick

    Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa wanaume: Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu tatizo hili

    Ndugu zanguni samahanini humu najua kunamadokta na wataalam wa afya,naomba kueleweshwa , Mke wangu anatokwa na maji maji ukeni mazito kama usaha meupe / rangi ya maziwa ,akienda hospitali wanamwambia NI UTI anapewa dawa za uti ule ute ute unaacha kutoka ,lakin sasa wakati wa tendo uchi wake...
  4. kelvin patrick

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Doctor Mke wangu anatokwa na maji maji ukeni mazito kama usaha meupe / rangi ya maziwa ,akienda hospitali wanamwambia NI UTI anapewa dawa za uti ule ute ute unaacha kutoka ,lakin sasa wakati wa tendo uchi wake unakuwa mkavu hata umuandae vipi ute ute wa kuashiria yupo tayar hautoki,na kama...
  5. kelvin patrick

    Msaada: Mke wangu kapoteza ute ute baada ya kutibiwa UTI, anapata maumivu wakati wa tendo na tumbo kumsumbua chini ya kitovu

    Ndugu zanguni samahanini humu najua kunamadokta na wataalam wa afya,naomba kueleweshwa, Mke wangu anatokwa na maji maji ukeni mazito kama usaha meupe / rangi ya maziwa, akienda hospitali wanamwambia ni UTI anapewa dawa za uti ule ute ute unaacha kutoka lakin sasa wakati wa tendo uchi wake...
  6. kelvin patrick

    Ni sababu gani zinaweza kupelekea wanandoa kutopeana ujauzito

    Nina rafiki yangu ameoa huu mwaka wa tano yupo kwenye ndoa hawajabahatika kupata mtoto wala hawajawahi kupeana ujauzito hatta kwa bahati tu,, Naombeni msaada wenu wa kimatibabu au nini Cha kufanya ili tatzo liishe
  7. kelvin patrick

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Doctor nina tatizo ila sijui ni tatzo gani naomba nikueleze, ,Kwa kipindi Cha miaka mitatu Sasa,,nikifanya mapenzi na mwanamke maji maji machafu ukeni yanaanza kumtoka soon after 24 hrs,akienda hospital anaambiwa ni UTI na fangasi atapewa dawa za kumeza na kupachika au sindano Na Mimi naambiwa...
  8. kelvin patrick

    Tofauti kati ya torque na Power (hp) kwenye gari

    Naombeni maelekezo ya kina juu ya torque, lakini pia juu ya Power,namna zinavofanya kazi katika gari,kipi kinamtegemea mwenzie zaidi na vinamaana gani katika kuelezea uwezo wa injini katika gari husika? Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  9. kelvin patrick

    Speed ya Sauli bus: Mabasi yanayokimbia sana hayana vidhibiti mwendo?

    Acha uongo mzee,hiyo Sauli ulikuwa unaifata na gar gan,? Usije fananisha speed 50 ya Basi na gari ndogo,,kwasababu gar. Kubwa inamzunguko mkubwa wa tair vivyo hivyo speed 50 ya Basi kutokana na ukubwa wa tair we mwenye gar ndogo unaweza fika speed 60+ili uwe naye mwendo sawa!!,akiwa speed 85...
  10. kelvin patrick

    Ipi pikipiki bora kati ya Tvs125 na Boxer

    Boxer 125,itakufaa zaidi,muonekano mzuri,na inanguvu zaidi ya TV's,inamwendo kuzidi tvs ,lakini pia inabalance kuzidi tvs,ukiwa kwenye mwendo mkubwa ukipishana na gar haikuyumbishi ukilinganisha na tvs, ,,Boxer itakufaa zaidi, Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  11. kelvin patrick

    Phone4Sale Nauza iphone 6 plain (16gb) 170k

    Nenda screenshot specifications zake kwenye setting,,,ndo nachomaanisha
  12. kelvin patrick

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Naombeni link ya Gcam kwa infinix yenye Android 10
  13. kelvin patrick

    Phone4Sale Nauza iphone 6 plain (16gb) 170k

    Kama itakuwa bado ipo jumapili ntakuwa apo uhakika niwekee Kama ctaomba punguzo la Bei,,ila kikubwa nitumiee specifications zake inbox,tuyajenge!!,make sure ,,upo na details za kuimiliki,
  14. kelvin patrick

    Hii ndio Interview iliyoifanya dunia ifahamu uwepo wa huyu kiumbe

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah wabongo siwawez
  15. kelvin patrick

    Jinsi ya kuandika barua ya kupostpone mwaka

    Ndiyo,Dr Banda nmekutana naye mwezi wa kumi na mbili kabla ya krismas,,,then nkamwona dean of faculty+school,,Kwa tatzo nilonalo ,,walikubaliana nifanye hivo,,, kabla cjafanya mitihan ya semister ya KwanzA,,
Back
Top Bottom