Boxer 125,itakufaa zaidi,muonekano mzuri,na inanguvu zaidi ya TV's,inamwendo kuzidi tvs ,lakini pia inabalance kuzidi tvs,ukiwa kwenye mwendo mkubwa ukipishana na gar haikuyumbishi ukilinganisha na tvs,
,,Boxer itakufaa zaidi,
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app