MUHIMU KUHUSU COVID-19 (CORONA)
Najaribu tafakari mengi juu ya hili janga la kitaifa ili hali tu wakuu wa vitengo hawjalitamka kwamba ni la kitaifa anyway tujaribu changanua baadhi ya mambo hapa.
> Utaenda sokoni kutumia pesa na pesa yawezekana umeipata kwa mtu mwenye maambukizi ya Covid19 so...
Tafuta eneo lenye mzunguko na saloon chache pili bola ya kiume plesha so nyingi ya kike utalea familia ya mwenzio na akajenga akat we unalia kwa kulalamika also liblary ni mazngira piaaa na inalipa pia kutegemea eneo
Kufungua sio tatzo but tatzo huja kwa wafanya kazi ni wasumbuf hatari na mfanyakaz ukitaka muweza kidoooogo napo sio sana mwambie posho jikadilie but kuumizwa kuko pale pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.