Recent content by kelvin john

  1. kelvin john

    Waziri Simbachawene amwagiza IGP kuwapangia kazi nyingine matrafiki wenye vitambi. Je, ni kosa askari kuwa na kitambi?

    Influenza, Hapo napo utata si wataondoka wote ni mgumu sanaaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. kelvin john

    Swali kwa Waziri wa Elimu na wengineo wenye dhamana katika taifa hili

    Yaaaaaahhh hata mimi nilifikiri sana juu ya hili swala kwanini lishughulikiwe na nchi nzima badala ya mkoa au wilaya husika hata hivyo watoto wetu wenyewe hawasomi kabisa asilimia kubwa ni wachache mno wanaoheshimu elimu
  3. kelvin john

    Mwenyekiti wa Bunge, Mary Mwanjelwa akataa Hoja ya Mwakyembe

    Yaaaaani kwa hapa nishaanza kuona watu wanataka kujitukuza kuwa mungu Wa Dunia wakati yeye aliye Juu yupo hai Kwahio Magufuri akiguswa kunakuwa na msiba kwani
  4. kelvin john

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Haaaaaaaaa unajua mtu mmoja hawezi kujenga nchi Bali umoja hujenga kwahio aunde watu rafiki tuu sasa akiwa anafukuza KAZI watu kila siku itakuwa nayo tabu tuuuu
  5. kelvin john

    Kelele zote uwezo bomba la gesi megawati 300 tu

    Yaaani i itazidi kuwa zigo acha waamke usingizini tuuu watajuaa
  6. kelvin john

    Although Tanzanians need changes but not for Lowassa

    Hahahahhaaa toroka uje maana naona maneno yako ya mwanzo na mwisho yanatofautiana Lowassa ni msafi asilimia mia kwa kugombea urais na ndio maana neck hawakumpinga
  7. kelvin john

    Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

    Hhhahahahaa watu wanavituko kesho yake watasema wanaleta kipindupindu wakati wao wenyewe waliungana kusonga na kupika kwa pamoja yale yale ya kupiga push up jukwaani njoo na sera watu wasikilize sera mwenzako aliwatembelea walisema anahatarisha maisha yake na ya watu wengine je yeye anafanyaje
  8. kelvin john

    Kiapo laana hatari zaidi

    Ameni Mungu akubariki sana
  9. kelvin john

    Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

    Kudadeki noma sanaa hakufai huyo maaana
  10. kelvin john

    Wizara ya Madini wamewaleta Wachina waje kujenga Nguzo za zege

    Kwani hamuoni nguzo za kwenye reli zimedumu kwa zaidi ya miaka 30
  11. kelvin john

    Wizara ya Madini wamewaleta Wachina waje kujenga Nguzo za zege

    Hata mimi naona nguzo za miti hazina faida kwani zinaharibikaaa haraka na kufanya waanze kutafuta upya miti lakini ikiwaa nguzo za nzege ni miaka nenda rudi hakuna kuharibika.
  12. kelvin john

    Mwanaume akikuzalisha asikuoe amekuharibia maisha

    Yaaa unaloseama ni kweli maana atakuwaa kakunyima haki zako nyingi
  13. kelvin john

    Jokate: Diamond hana akili timamu

    Si mchezo akili kila mtu anazo ila wamekoseana heshima
  14. kelvin john

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    Mjinga nitaitwa mjinga kusoma hujui hata picha usionee tunajielewa sasa
  15. kelvin john

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    Namshukuru mchina na mkorea kwa kutuuzia simu za bei nafuuu alafu nzuri kila mtu anawaona wajinga na wenye akili wenye kujali na kutokujali daima mbele yetu tupo sisi wananchi
Back
Top Bottom