Toto moja lilikuwa na tabia ya uvivu wa kupindukia, siku moja limekaa chini ya mti linacheza na baba yake anasoma gazeti kibarazani. Mara likahisi kiu ya maji ila likaona uvivu kwenda ndani kunywa:
Toto: Baba naomba uniletee maji ya kunywa
Baba: We mtoto huna adabu nenda ndani kanywe
Toto...
Natafuta yaya wa kunilelea watoto awe ni mwanamke mtu mzima watoto wako wawili mmoja miaka miwili na mmoja miezi minne awe na wadhamini wawili na barua kutoka Serikali ya Mtaa.
Ni pm kama unaweza nisaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.