Recent content by keleuu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Bei ya tecno tablet

    Wadau naomba mnisaidie kunifahamisha bei ya tecno tablet mpya
  2. K

    JamiiForums Tanzania Toto vivu kuliko

    Toto moja lilikuwa na tabia ya uvivu wa kupindukia, siku moja limekaa chini ya mti linacheza na baba yake anasoma gazeti kibarazani. Mara likahisi kiu ya maji ila likaona uvivu kwenda ndani kunywa: Toto: Baba naomba uniletee maji ya kunywa Baba: We mtoto huna adabu nenda ndani kanywe Toto...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Machame mbona wanafanya hivi?

    Ni kweli mara nyingi huua kwa ushirikina hapo ushahidi unakuwa hakuna
  4. K

    JamiiForums Tanzania Watu wa namna hii huwa wananikera si kidogo

    Sure hata mm inanikera sana
  5. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta yaya

    Natafuta yaya wa kunilelea watoto awe ni mwanamke mtu mzima watoto wako wawili mmoja miaka miwili na mmoja miezi minne awe na wadhamini wawili na barua kutoka Serikali ya Mtaa. Ni pm kama unaweza nisaidia
  6. K

    JamiiForums Tanzania Natarajia kufungua Station ya radio

    Usinisahau ajira nimesomea project planning
  7. K

    JamiiForums Tanzania Amkeni jamani wakati wa kula daku huo

    Sijui bado mnanikumbuka wana jf maana nilipoteaaaa nime come back
Back
Top Bottom