Recent content by kelenyende

  1. K

    Saudi Arabia: Hujaji wa Tanzania afariki dunia baada ya kuugua ghafla

    Katika mambo ya Roho Peponi ni kwa shetani labda kimwili ndio mbingun na Mungu ni roho hapo sasa. Utashangaa watu wanaambiana marehemu alazwe mahali Pema peponi aisee Tumuombe Mungu
  2. K

    Joshua alilisimamisha Jua

    Mwombe Mungu boss utajua jua linamaanisha nin bibilia sio gazet
  3. K

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Bado unaziuza?
  4. K

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Wizi unakujaje kaka hapo mi sio duka nami nlinunua sasa siitumii kutoka na na mazingira sijatulia sehemu moja mteja akipatikana tuna negotiate sasa Mali yangu bado uniite mwizi dah samahan kaka kama nimekosea kuweka humu atakaetaka mtafutie
  5. K

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    250,000 NAUZA WAKUU
  6. K

    Polisi, Jeshi linaloishi kwenye nyumba mbovu zaidi Tanzania. Wanafuatia Magereza

    Hamia bas kwenye mjengo wako mkuu na wenzio ambao hawajajenga wamepanga wapate ahueni kodi wanazolipa wakanunue nao viwanja tusaidiane
  7. K

    Historia yangu juu ya punyeto na ngono jinsi nilivyopata uraibu

    Hapa aoe kabisa ili Liwe na baraka za Mungu hilo zoezi sio za shetan
  8. K

    Zigooo zigoooo

    I
  9. K

    Naombeni ushauri: Nina mke ila kuna binti nampenda kweli

    Afu ukikamatwa na mkeo unasema shetan kanipitia[emoji83][emoji83][emoji83] sa hivi hujakamatwa humuoni shetani [emoji23]. Fanya logic moja tu hapo mkeo nae apigwe kama unavopiga ule moyo kama hautauma bas humpendi ila ukiuma bas wewe ni MPUMBAFU WAHI KATUBU
  10. K

    Dish la KU_band na receiver ya FTA ukiset vizuri unaweza kupata channel ngapi wakuu?

    Ninaking'amuzi cha free satellite sijui kukitumia channel za free na mipira imo naomba pesa 300,000 kabla wataalam kuja
  11. K

    Kwanini wanaisrael hadi leo sio wakristo, na bado wanaitwa taifa teule la Mungu?

    Israel ni wewe na Mimi achen kusingizia nchi ya watu na mmbadirike tabia
Back
Top Bottom