Katika mambo ya Roho Peponi ni kwa shetani labda kimwili ndio mbingun na Mungu ni roho hapo sasa. Utashangaa watu wanaambiana marehemu alazwe mahali Pema peponi aisee Tumuombe Mungu
Wizi unakujaje kaka hapo mi sio duka nami nlinunua sasa siitumii kutoka na na mazingira sijatulia sehemu moja mteja akipatikana tuna negotiate sasa Mali yangu bado uniite mwizi dah samahan kaka kama nimekosea kuweka humu atakaetaka mtafutie
Afu ukikamatwa na mkeo unasema shetan kanipitia[emoji83][emoji83][emoji83] sa hivi hujakamatwa humuoni shetani [emoji23]. Fanya logic moja tu hapo mkeo nae apigwe kama unavopiga ule moyo kama hautauma bas humpendi ila ukiuma bas wewe ni MPUMBAFU WAHI KATUBU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.