Habari! Toka jumamosi iliyopita nikiwa safarini toka Nyumbani Tanzania Kwenda Ughaibuni niliko jishikiza kimaisha as Diaspora najisikia Ndani yangu kumuombea TUNDU A. LISSU.
Mimi sio mwanasiasa na Sina itikadi ya chama chochote Kile ila ninachojua Tundu Lissu ni Mmoja wa watu ambao Mungu...
Sikumla niliishia kumtamani Tena ni Enzi za ujana saizi nimezeeka sana. Uyo Mchaga ni wife material Sema basi tu nimechelewa kukutana Naye kanikuta Wakati ambao life imenipea Lemon na Sina blender ya Kufanya Lemonade
1. Wiki Tatu zilizopita Kabla sijakimbilia Ughaibuni Kuna Mchaga nilimpata aisee Mweupe ana Tako na fundi balaaa.
2. Kuna ndugu Yangu nusu nimtongoze nikaogopa tu wazazi wakijua Máana kakulia home
Nimeshuhudia jinsi vijana wanavyotolewa kwenye reli na MAWAZIRI feki na viongozi feki kama vile Joel Nanauka ( aliyepewa uwaziri wa vijana).
With due respect Kwenye uwezo wake na Elimu yake na hata kuwa mwamini mwenzangu wa Kiroho Kwenye kanisa moja ila siungi mkono uwaziri wake na Serikali...
Watanzania wenzangu huko nyumbani Poleni sana Kwa msiba wa kitaifa na kupoteza ndugu zetu. Mungu awape faraja na kuwafunga Mkanda. As I speak nipo abroad kimasomo na ni nchi ya bara la Asia nimekutana na mtu Wa South Korea Alikuwa ananihadithia Hali Yao ya mabadiliko Hadi wamefika hapo walipo...
Huyo Me mwenyewe ni walewale siku hizi Mods wake Kila siku wanafuta Threads Ambazo haziizungumzii vizuri serikali may be wamechelewesha pay roll yake ndomana leo ametoka hadharani anabweka
Usiwasanue.... Mi nimeongea mara nyingi sana kwenye thread zangu MODS wameishia kuniita mchochezi na kufuta Kila thread hata Zile zenye maslahi mazuri Kwa taifa
Makonda mwenyewe mwisho wake u Karibu na mbali naivyo ashukuru anakoenda kuroga Roga watu Hadi wanamuona very decent ila Kitengoni kamwe Hawezi kuingia. Uyo dogo anatafta kick sana huku hana watu nyuma WA kumbeba tofauti na Heri James na Paul M.
Hutu tukipewa Efu 30 pale Lumumba na Kupewa lunch Mlimani city tunajiona tumemaliza Kila kitu.... haka Ka kiliba Nina faili lake moja ni kazinzi Grade 1 tangu kakiwa First year na wamekaahidi Eti kataingizwa kitengoni 😃😃😃😃🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.