Recent content by Kekule Wa Benzene Ring

  1. Kekule Wa Benzene Ring

    Pray for Tundu Lissu

    Habari! Toka jumamosi iliyopita nikiwa safarini toka Nyumbani Tanzania Kwenda Ughaibuni niliko jishikiza kimaisha as Diaspora najisikia Ndani yangu kumuombea TUNDU A. LISSU. Mimi sio mwanasiasa na Sina itikadi ya chama chochote Kile ila ninachojua Tundu Lissu ni Mmoja wa watu ambao Mungu...
  2. Kekule Wa Benzene Ring

    Watoto na wazee wameshalala, njooni tuzogoe!

    Sikumla niliishia kumtamani Tena ni Enzi za ujana saizi nimezeeka sana. Uyo Mchaga ni wife material Sema basi tu nimechelewa kukutana Naye kanikuta Wakati ambao life imenipea Lemon na Sina blender ya Kufanya Lemonade
  3. Kekule Wa Benzene Ring

    Watoto na wazee wameshalala, njooni tuzogoe!

    Hahahaha we njoo PM uone utaolewa Bila mahari
  4. Kekule Wa Benzene Ring

    Watoto na wazee wameshalala, njooni tuzogoe!

    Ujaona vidole vyangu wewe ntatamani uolewe na mimi
  5. Kekule Wa Benzene Ring

    Watoto na wazee wameshalala, njooni tuzogoe!

    1. Wiki Tatu zilizopita Kabla sijakimbilia Ughaibuni Kuna Mchaga nilimpata aisee Mweupe ana Tako na fundi balaaa. 2. Kuna ndugu Yangu nusu nimtongoze nikaogopa tu wazazi wakijua Máana kakulia home
  6. Kekule Wa Benzene Ring

    Vijana msihadaike na Mawaziri feki kama Joel Nanauka

    Nimeshuhudia jinsi vijana wanavyotolewa kwenye reli na MAWAZIRI feki na viongozi feki kama vile Joel Nanauka ( aliyepewa uwaziri wa vijana). With due respect Kwenye uwezo wake na Elimu yake na hata kuwa mwamini mwenzangu wa Kiroho Kwenye kanisa moja ila siungi mkono uwaziri wake na Serikali...
  7. Kekule Wa Benzene Ring

    GE2025 Kipi kifuatacho baada ya maandamano ya kumuondoa Samia kufeli

    Watanzania wenzangu huko nyumbani Poleni sana Kwa msiba wa kitaifa na kupoteza ndugu zetu. Mungu awape faraja na kuwafunga Mkanda. As I speak nipo abroad kimasomo na ni nchi ya bara la Asia nimekutana na mtu Wa South Korea Alikuwa ananihadithia Hali Yao ya mabadiliko Hadi wamefika hapo walipo...
  8. Kekule Wa Benzene Ring

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Huyo Me mwenyewe ni walewale siku hizi Mods wake Kila siku wanafuta Threads Ambazo haziizungumzii vizuri serikali may be wamechelewesha pay roll yake ndomana leo ametoka hadharani anabweka
  9. Kekule Wa Benzene Ring

    Kama Taifa tumefikishwa hapa kwa sababu ya Lissu.

    Bro wapi UPO nikununulia Nyama choma na sharubati ijumaa hii
  10. Kekule Wa Benzene Ring

    Hili joto la kisiasa limepanda sana, tafuteni namna ya kulishusha kwa busara!

    Usiwasanue.... Mi nimeongea mara nyingi sana kwenye thread zangu MODS wameishia kuniita mchochezi na kufuta Kila thread hata Zile zenye maslahi mazuri Kwa taifa
  11. Kekule Wa Benzene Ring

    Gwajima: Baada ya siku kumi ukirudi, muumini wako naye katuahidi kurudi!

    Makonda mwenyewe mwisho wake u Karibu na mbali naivyo ashukuru anakoenda kuroga Roga watu Hadi wanamuona very decent ila Kitengoni kamwe Hawezi kuingia. Uyo dogo anatafta kick sana huku hana watu nyuma WA kumbeba tofauti na Heri James na Paul M.
  12. Kekule Wa Benzene Ring

    Gwajima: Baada ya siku kumi ukirudi, muumini wako naye katuahidi kurudi!

    Hutu tukipewa Efu 30 pale Lumumba na Kupewa lunch Mlimani city tunajiona tumemaliza Kila kitu.... haka Ka kiliba Nina faili lake moja ni kazinzi Grade 1 tangu kakiwa First year na wamekaahidi Eti kataingizwa kitengoni 😃😃😃😃🤣
Back
Top Bottom