Uislamu usipoujua Vizuri unaweza kuhisi ni dini ila Kwa Sisi ambao YESU ametuokoa na kutupa kuijua kweli toka Huko Kwenye Mapokeo ya kina Mzee Mangoma Said Libalaluke Lindi Huko Hadi ametuweka hapa Nuru kwake na ndani yake KRISTO tunaenda... Tunaishi na kuwa na Uhai wetu na uhakika wa maisha...
Poleni na mvua zinazoendelea jijini na miji mbalimbali hapo nyumbani. From my trusted source pamoja na kuwa report ya kesho Itakuwa na madudu mengi na ya ovyo ovyo ( Kitu nilichotarajia tangu day one) maana muundiwa tume aliunda tume. Ila Ili kuua sooooo. Ya kuwa Lissu ametoka kisa hana kosa na...
Habari! Toka jumamosi iliyopita nikiwa safarini toka Nyumbani Tanzania Kwenda Ughaibuni niliko jishikiza kimaisha as Diaspora najisikia Ndani yangu kumuombea TUNDU A. LISSU.
Mimi sio mwanasiasa na Sina itikadi ya chama chochote Kile ila ninachojua Tundu Lissu ni Mmoja wa watu ambao Mungu...
Sikumla niliishia kumtamani Tena ni Enzi za ujana saizi nimezeeka sana. Uyo Mchaga ni wife material Sema basi tu nimechelewa kukutana Naye kanikuta Wakati ambao life imenipea Lemon na Sina blender ya Kufanya Lemonade
1. Wiki Tatu zilizopita Kabla sijakimbilia Ughaibuni Kuna Mchaga nilimpata aisee Mweupe ana Tako na fundi balaaa.
2. Kuna ndugu Yangu nusu nimtongoze nikaogopa tu wazazi wakijua Máana kakulia home
Nimeshuhudia jinsi vijana wanavyotolewa kwenye reli na MAWAZIRI feki na viongozi feki kama vile Joel Nanauka ( aliyepewa uwaziri wa vijana).
With due respect Kwenye uwezo wake na Elimu yake na hata kuwa mwamini mwenzangu wa Kiroho Kwenye kanisa moja ila siungi mkono uwaziri wake na Serikali...
Watanzania wenzangu huko nyumbani Poleni sana Kwa msiba wa kitaifa na kupoteza ndugu zetu. Mungu awape faraja na kuwafunga Mkanda. As I speak nipo abroad kimasomo na ni nchi ya bara la Asia nimekutana na mtu Wa South Korea Alikuwa ananihadithia Hali Yao ya mabadiliko Hadi wamefika hapo walipo...
Huyo Me mwenyewe ni walewale siku hizi Mods wake Kila siku wanafuta Threads Ambazo haziizungumzii vizuri serikali may be wamechelewesha pay roll yake ndomana leo ametoka hadharani anabweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.