Mambo ya Majini na Kulogwa nayo siamini,Majini na Kulogwa ni matatizo ya kisaikolojia na issue ya "sintofahamu"
Matatizo ya Kisaikolojia
Kabla ya watu kuanza kufanya utafiti wa mambo ya kisaikolojia,matukio ya Majini yalikuwa mengi sana,Makanisa kama Roma Catholic walikuwa wanaombea watu na...
Habari imeandikwa serikali ya Ujerumani isaidiane na serikali ya Tanzania ili wafunge kinu kikubwa cha gesi,kwasababu tuna hifadhi ya kutosha ya gesi,kuliko kutengeneza bwawa.
So issue haihusiani na uchumi wetu au sijui tuna ndio "uwezo wetu",afterall usizuge kama tuna hela za kujenga hilo...
Kutunzwa kwa rasilimali za nchi,ni pamoja na kuruhusu Vyombo huru,vilivyo nje ya serikali kufanya ukaguzi
Huwezi wewe kujikagua mwenyewe,wakikukagua wengine unakua mkali,halafu unajisifia unasimamia Mali za wananchi,Nani anahakiki Hilo kama si wewe peke yako!?
Also ulinzi wa Mali za...
Elimu ya kweli,Utawala Bora na Demokrasia ya kweli ndio siri ya nchi nyingi kuendelea.
Watu wenye Elimu nzuri wakiwa huru na Utawala Bora,ndio ubunifu unaanza,una serikali inafanya kazi kwa watu wake, Viongozi ambao hawana uwezo wa kudanganya ovyo wananchi,wananchi hawatajisikia vibaya...
Acheni kusambaza habari ambazo hazina ukweli
Trump hana ubavu wa kukataa ushoga
Huyu hapa akikubaliana na ushoga,wakati anagombea urais,akiwaomba mpaka kura
Statistics za dini na France,kila mtu atavuta upande wake since 50% Catholics na minorities 8% pia iko Wikipedia, as 29% atheists and 69% irreligious,so usiwe so mwepesi ku'jugde watu while unatumia sources hizohizo, tatizo tulilonalo wote wawili tume'fall victim wa confirmation bias,tunafuata...
Unaongelea nchi kama France ambayo population ni 69% irreligious na 29% ni atheists,ofcourse by default wataokamatwa wengi ni waislamu kwasababu pia France ndio nchi inayoongoza ulaya kwa kuwa na waarabu wengi,ambao wengi ni waislamu pia. Utamaduni wa kifaransa kwa muda mrefu sana haukubaliana...
Sorry ndugu hoja yako haina mashiko yoyote....nchi kibao zimekubali mahusiano ya jinsia moja toka miaka 1960s na ndoa za jinsia moja toka miaka ya 2000 na hakuna chochote kuhusu sodoma,gomorrha wala majanga ya kimataifa,so either Mungu wako hana tatizo hiyo hiyo issue au hayupo at all.
Btw...
Hiyo issue ya kutokuvaa niqab,sio tu kwa waislamu tu.....Ufaransa hurusiwi kuvaa ishara zozote za dini kwenye ofisi za serikali au mashuleni,inawahusu wakristo,Jews na dini zingine pia.
Hii ni history ndefu ya secularism iliyojengwa na hizo jamii za huko,kama una dini then ifanye huko chumbani...
Nchi zote zilizowekewa embargo zilianguka kiuchumi na kushindwa kuwahudumia wananchi wake,unafikiri hawakuwa na mvua,jua na ardhi!?
Iran,Venezuela zina mvua,jua,ardhi na mafuta na still uchumi wao umebomoka kutokana vikwazo.
Kweli kabisa Mzee,serikali na vijana wa Lumumba wanashadadia ushoga while report imeelezea mambo kibao kuhusu uvunjaji wa haki za binadamu na kuminywa kwa demokrasia,hawaongelei kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.