Recent content by Keijay

  1. K

    Nilivyokutana na Mzee Sued Kagasheki katika mazungumzo na Dossa Aziz 1980s

    Nlishawai kusikia Sued Kagasheki na baba mdogo wa Balozi Khamis Kagasheki
  2. K

    Mkoa wangu wa Kagera tunakwama wapi?

    Mbona kama out dated newz vile, maana naona unataja watu hata c wabunge kwa sasa kama Dr Kamala, Prof Anna Tibaijuka
  3. K

    Sadaka za Jumapili moja Ml 40-60, ubunge sh Ml 10 kwa mwezi, bora siasa ama Imani?

    Mzee huyajui vzr makanisa ya kkkt,kijitonyama tuu hizo 30m kwa week ni jambo la kawaida kabisa
  4. K

    Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu BMW 320i

    C kweli gari ya kijerumani naitumia zaidi ya mwaka ipo pouwa kabisa,,sema wabongo wengi hawapati mafundi sahihi wa hizi gari,,na kuzoea mjerumani,mjapani huwezi kumtamani tena,,mzee chukua chuma cha mzungu hutajuta kaka.
  5. K

    Mazingira ya Lupaso Mtwara tumeyaona, tufanye marekebisho

    Hamna wanachokijua,,kuna mmoja anasema Magufuli alikuwa anaishi Obey,,ukimuuliza hata mtaa gani Obey hajui,,wapo busy na story za vijiweni
  6. K

    Mazingira ya Lupaso Mtwara tumeyaona, tufanye marekebisho

    Humu watu wanajifanya wanajua wakati hawajui lolote na story zao za vijiweni,,ukiwauliza kama pale old Moshi wamefika,,ni dhahiri hawajafika,lushoto wamefika au lupaso,,wakiona nyumba ya kumbukumbu ya marehemu baba yake mzee Mkapa wanajua ndo nyumba iliyopo,,wakati kuna mjengo wa maana tuu...
  7. K

    Mazingira ya Lupaso Mtwara tumeyaona, tufanye marekebisho

    Hakuna unalolijua ni kelele tu za mitandaoni, huko Lushoto hujafika wala huko Lupaso hujafika zaidi ya maneno ya kusikia tuu.
  8. K

    Mazingira ya Lupaso Mtwara tumeyaona, tufanye marekebisho

    Una uhakika kama Lupaso hakujenga, subiri muda utaongea ndio utajua kama alijenga au hakujenga
  9. K

    Mazingira ya Lupaso Mtwara tumeyaona, tufanye marekebisho

    Una uhakika na haya au ndio story zenu za vijiweni.
  10. K

    Bukoba: Mji wenye historia lakini kimaendeleo umepitwa na miji mingi sana nchini. Tatizo nini?

    Wabongo bana wakienda China wakikuta wachina wanaongea kichina hawashangai lkn wakienda Bukoba wakikuta Wahaya wanaongea kihaya wanashangaa,,labda kama hujui tuu Wahaya hata ukiwakuta US au UK wataongea kihaya,,wanapenda lugha yao.
  11. K

    GE2020 Ubunge wa Mwijage wafika kikomo jimboni Muleba Kaskazini

    Huyo mpambe tuu hata Muleba kaskazini haijui vzr,,labda arudi na analysis nyingine iliyoenda shule Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    GE2020 Ubunge wa Mwijage wafika kikomo jimboni Muleba Kaskazini

    Mbona hoja zako zimejikita kwenye maeneo machache,,una uhakika gani kama maeneo mengine yana mtizamo kama wako,,tuhuma umezipeleka kwa mbunge,,,vp diwani wako hana nafasi ktk kutatua changamoto zenu,,kumbuka mkitegemea kila kitu mbunge awafanyie mtasubiri sana na mtakuwa wasindikizaji wazuri wa...
  13. K

    Spika Ndugai: Hali ya watanzania ni ngumu, ni maskini sana wanaishi kwa kubangaiza, tukifunga nchi hawataweza kula

    Rekebisha heading yako,,ataingia au hataingia bungeni Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye arejea CCM, alijiengua CHADEMA baada ya kuambiwa na Mbowe 'Sumu haionjwi kwa kuilamba'

    Naamin hata anaeuliza hajui mwenye share zaidi labda story za vijiweni,kama anajua kweli weka mkeka hapa wa wenye share za CRDB Sent using Jamii Forums mobile app
  15. K

    Ali Mufuruki atangaza kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Vodacom Tanzania

    Ali hajasoma UDSM,huyo chuo alisoma Ujerumani
Back
Top Bottom