Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,542
- 3,451
Hiyo ni shida ya Bukoba au shida yako" shida ya unavyoona na kupenda wewe?".Bukoba ipo haina shida ila wewe ndiyo unaona shida katika ulimwengu wako wa kifikra.Shida ya Bukoba hawajengi kwenye mji wao wanajenga Vijijini kwao hawa wahaya! Ukienda Vijijini kwao ni pazuri sana. Ila Bukoba mji ni pazuri sana tu