Recent content by keepthefaithalive

  1. K

    Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

    Hivi wewe kama c yingo ni nini?au umbea?yani mitaa yote umepita wewe tena subuhi hii na foleni hizi...tegeta ushapita,mbezi beach umepita...goba umepita...sinza,makumbusho umepita yote hii asubuhi...hadi chang'ombe??sasa embu nikuulize wewe mwandishi wa habari au??au mitaa yote hiyo ni junction...
  2. K

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    PHTS 1 ndio kubwa...rate yake ni 960,000!!
  3. K

    Upi ni mfuko bora wa kijamii (pension)

    PSPF ndo habari ya mujini wengine wote hao vyenga tu!!
  4. K

    Mwongozo wa utumishi wa umma

    conservative vipi je kwa mtumishi mpya mwenye miezi 2 kazini lakini akabahatika kupata kazi kwenye mashirika ya umma yanayojitegemea mfano BOT,TRA au NSSF,je mtumishi huyu anauwezo kwa kuacha kazi kwa 24 hr notice na kurudisha mshahara wake wa mwezi mmoja na kwenda kwenye mashirika haya bila...
  5. K

    Kuitwa kazini TRA

    Nashukuru Mungu muda si mrefu nimepigiwa simu na Mamlaka ya mapato Tanzania TRA kwenda kuchukua barua yangu ya ajira chumba no.27 nafasi ya ACO.
  6. K

    Barua ya kupangiwa kituo cha kazi utumishi

    Ndio mkuu...nenda tu ofisi za utumishi pale maktaba house chumba cha masijala utapata barua yako fasta tu.
  7. K

    Kutoka Mwanza to Dar kwa written interview ya watu 174

    kama kweli upo kwenye haya mapambano ya kutafuta ajira hutakiwi kukatishwa tamaa na idadi ya walioitwa. jiamini wewe mwenyewe na ujue every applicant has an equal chance ya kupata kazi...afterall hakuna interview siku hizi ya kuitwa watu 10 kwa nafasi 2...idadi ya applicants inazidi kukua kila...
  8. K

    Nafasi za kazi TRA

    jina lako la massawe,moshi,shayo,mushi,...hahahaaa halipiti tena hilo mkuu
  9. K

    Tumeajiriwa CMA Oktoba 2014 mishahara hakuna

    Ukiajiriwa kama mtumishi wa umma au government agency yoyote ambayo mishahara ya watumishi wake inatoka hazina kuna kitu kinaitwa cheque number unapata kutoka hazina,mara baada tu ya kupata hyo cheque number tayari una uhakika wa kupata mshahara wako!sasa niwaulize je kama mishahara yenu inatoka...
  10. K

    Interview CMSA

    Na maswali ya planning officers yalikuaje??
  11. K

    Tumuombe Mhe. Mkapa atuongoze tena japo miaka 5 tu

    Nadhani hilo litakua jambo la busara sana...hata TDV 2025 yaweza fikika kwa uongozi wa mh.Mkapa
  12. K

    Interview CMSA

    hivi kuacha vyeti na identity hawa jamaa walisema twende na kitu gani kingine??passport size???
  13. K

    Capital Market and Securities Authority Interview

    tangazo lao la kazi la mwezi wa 4 mwaka jana planning officers nafasi ni 2 na financial analysts nafasi 4!
  14. K

    Yaliyojiri katika Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM Songea Mkoani Mkoani Ruvuma

    Kwenye maadhimisho ya miaka 38 ya CCM songea Mheshimiwa rais JK Kikwete alisema wazi wazi kuwa kuna watu wanakidhi vigezo vyote vya kupitishwa na chama chake CCM kugombania kiti cha urais...pia alisema watu hao bado hawajajitambua wanahitaji tu kushtuliwa na kuambiwa kuwa wanaweza Sasa habari...
  15. K

    Capital Market and Securities Authority Interview

    Kumuuliza source nina maana yangu,hiyo reference ya the guardian la trh 23.01.2015 ambayo na mm nililiona ni ile ya majina ya interview ya mara ya kwanza ambayo watu walienda lakini usaili ukawa postponed!so hyo ref aliyoitoa ni outdated!
Back
Top Bottom