ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,989
Commission for mediation and abbirtration (CMA) ndiye mkombozi na kimbilio la waajiriwa dhidi ya waajiri wakorofi na kinyume chake.
Mie ni miongoni mwa waajiriwa wapya wa Tume hii tangu Oktoba 2014.
Mpaka leo hii hatujalipwa mshahara hata mmoja. Ni miezi minne imepita sasa hakuna kinachoeleweka.
Viongozi wakiulizwa wanasema Hazina.
1: Tutafikaje kazini?
2:Tumkimbilie nani juu ya shauri hili?
3:Nikikaa nyumbani bila kwenda kazini nitaachishwa? Probation bado hsijaisha
Kesi ya ngedere nimpelekee nani hapa?
Mie ni miongoni mwa waajiriwa wapya wa Tume hii tangu Oktoba 2014.
Mpaka leo hii hatujalipwa mshahara hata mmoja. Ni miezi minne imepita sasa hakuna kinachoeleweka.
Viongozi wakiulizwa wanasema Hazina.
1: Tutafikaje kazini?
2:Tumkimbilie nani juu ya shauri hili?
3:Nikikaa nyumbani bila kwenda kazini nitaachishwa? Probation bado hsijaisha
Kesi ya ngedere nimpelekee nani hapa?