NDOTO NI MLANGO WA KULETA TAARIFA IWE MBAYA AU NZURI.
Ndoto yako inakupa taarifa ya unachokipitia au ulichokipitia na namna ulivyosaidiwa.
Kufungiwa mahali ni gereza la ulimwengu wa roho kwamba nyanja zako zote zimetekwa kupitia nafsi yako. Na kilichofungwa ni nafsi yako.
KUFUNGULIWA: umepata...
Vipi kuhusu mapenzi ya Mungu juu ya dunia hii hasa hao waparestina. Nadhani maombi yako yatakuwa na nguvu kama mapenzi ya Mungu yataamua ulivyoomba ila kama sivyo hutapata majibu unayoyatarajia
Umeiweka kitaalamu sana.
Ila tu kujadiliana na hawa wenzetu wa bimdogo utapoteza muda tu.
Mtazamo wa kiroho na mtazamo wa kimwili ni kama maji na mafuta, nuru na giza, hamwezi elewana.
Naona aibu mimi.
Hii nchi ina watu wa hovyo sana wasioelimika wasioijua kesho yao, wasiojua thamani ya maisha yao.
Wasiojua nini chakuongea wapi na wapi.
CHAMA SI SHIDA SHIDA NI SISI WANANCHI TULIO NA MAWAZO MUFILISI
Kitu unachoshindwa kuelewa ni kwamba Israel wanalinda vitu viwili 1: raia 2: ardhi hivyo watafanya lolote kuvilinda.
The same kwa parestina ila hamas hezbola na houth wao wamenunua ugomvi kwa maslahi ya kidini tu nyuma ya Iran na islamic kingdom
“Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini. ”
— 1 Timotheo 5:8
KATI YA ISRAEL NA (IRAN, HOUTH NA HEZBOLLA) NI NANI ANAYETUNZA WA NYUMBANI KWAKE?
Mathayo 24 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³² Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu;
³³ nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.
Mathayo 24 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³² Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu;
³³ nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.