Recent content by keepsake

  1. keepsake

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Mungu amempa mwanadamu uchaguzi huru kati ya giza(shetani au nuru(Mungu) Aliyeleta uovu ni shetani si Mungu, mwanadamu anafanya on his/her own emwill. Warumi 1 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ²⁸ Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa...
  2. keepsake

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    “Mimi ni Bwana; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu. ” — Isaya 42:8 (Biblia Takatifu) “Kwa ajili ya nafsi yangu, kwa ajili ya nafsi yangu, nitatenda haya; je! Litiwe unajisi jina langu? Wala sitampa mwingine utukufu wangu. ” — Isaya 48:11...
  3. keepsake

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. ” — Isaya 55:9 (Biblia Takatifu)
  4. keepsake

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dar es salaam hakuna tofali za kuchoma, Je tofali za kuchoma ni za maskini?

    Tofali za kuchoma si kipomo cha hali ya uchumi ila kwa dar es alaam nadhani ni upatikanaji wa tofali kuzisafirisha ni gharama lakini pia utamaduni wa mahali na nature ya mazingira na sheria za mazingira kwa dar ni ngumu kufyatua na kuchoma tofali. Ila inawezekana kujengea na siku hizi zimekuwa...
  5. keepsake

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dar es salaam hakuna tofali za kuchoma, Je tofali za kuchoma ni za maskini?

    Mengi sana. Mfano nimekaa sana iringa nenda pale boma utalikuta
  6. keepsake

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dar es salaam hakuna tofali za kuchoma, Je tofali za kuchoma ni za maskini?

    Ni kweli na tofali haina expiredate lakini pia napenda ukipata nene na ukuta unakuwa mnene kiasi k
  7. keepsake

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dar es salaam hakuna tofali za kuchoma, Je tofali za kuchoma ni za maskini?

    Lifespan ya tofali ya kuchoma ni kubwa kuliko ya cement, pia maeneo yenye fungus sana tofali za kuchoma zinasustain kuliko za cement. Lakini pia tofali za cement siku hizi zinachakachuliwa sana kiasi ni bora utumie tofali za kuchoma. Ukipata tofali mfano kama ya mbozi mkoani songwe, tofali ya...
  8. keepsake

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Iwambi viwanja tu chini ya m10 hupati wewe unazungumzia iwambi ya wapi😂😂 isijekuwa unatupanga tu tujue na wewe umejenga.🏃🏾‍♂️
  9. keepsake

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu 7 ukivipuuzia sasa, baadaye utajilaumu sana:

    🔥🔥🔥🔥🔥🤝🏾🤝🏾
  10. keepsake

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya ndoto hii?

    NDOTO NI MLANGO WA KULETA TAARIFA IWE MBAYA AU NZURI. Ndoto yako inakupa taarifa ya unachokipitia au ulichokipitia na namna ulivyosaidiwa. Kufungiwa mahali ni gereza la ulimwengu wa roho kwamba nyanja zako zote zimetekwa kupitia nafsi yako. Na kilichofungwa ni nafsi yako. KUFUNGULIWA: umepata...
  11. keepsake

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu inaruhusuje watoto wanateswa hivi ili shule zionekane inafanya vizuri kimatokeo

    😂😂😂😂😂 skauti waliachiwa shule full kichapo, umenikumbusha mbali aisee hakuna watu walikuwa wanajiona wajanja kama wale walikuwa wanashinda gor
  12. keepsake

    JamiiForums Tanzania Mwamini Yesu Umwone Mungu Katika Maisha Yako

    Barikiwa sana mtumishi
  13. keepsake

    JamiiForums Tanzania Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

    Vipi kuhusu mapenzi ya Mungu juu ya dunia hii hasa hao waparestina. Nadhani maombi yako yatakuwa na nguvu kama mapenzi ya Mungu yataamua ulivyoomba ila kama sivyo hutapata majibu unayoyatarajia
  14. keepsake

    JamiiForums Tanzania Nani kaipa mamlaka Israel ya kuishambulia Syria?

    Umeiweka kitaalamu sana. Ila tu kujadiliana na hawa wenzetu wa bimdogo utapoteza muda tu. Mtazamo wa kiroho na mtazamo wa kimwili ni kama maji na mafuta, nuru na giza, hamwezi elewana.
  15. keepsake

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 LGE2024 Wapiga kura, hakikisheni mnapiga kura kwa serikali iliyopo, viongozi mbadala hawana rasilimali za kutekeleza wanayoyaahidi

    Naona aibu mimi. Hii nchi ina watu wa hovyo sana wasioelimika wasioijua kesho yao, wasiojua thamani ya maisha yao. Wasiojua nini chakuongea wapi na wapi. CHAMA SI SHIDA SHIDA NI SISI WANANCHI TULIO NA MAWAZO MUFILISI
Back
Top Bottom