NIsingetaka kujua kama sina taaluma au kuhua mahitaji ya ufunguaji wa hizo venture.
Nadhani ungejikita kutoa maarifa kwa ajili yangu na wengine then hiyo ya taaluma ungeiweka kama point ya vikwazo vya kuanzisha biashara hizo
Wanajamvi kama kichwa kinavyosomeka, natamani kujua biashara yenye mzunguko na faida nzuri kati ya agrovet na hardware kwa maeneo ya Mbeya.
Kwa faida yangu na ya wengine naomba wazoefu na watalaamu mtupe dondoo kidogo hapa.
Natanguliza shukrani
Mungu amempa mwanadamu uchaguzi huru kati ya giza(shetani au nuru(Mungu)
Aliyeleta uovu ni shetani si Mungu, mwanadamu anafanya on his/her own emwill.
Warumi 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁸ Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa...
“Mimi ni Bwana; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.
”
— Isaya 42:8 (Biblia Takatifu)
“Kwa ajili ya nafsi yangu, kwa ajili ya nafsi yangu, nitatenda haya; je! Litiwe unajisi jina langu? Wala sitampa mwingine utukufu wangu.
”
— Isaya 48:11...
“Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
”
— Isaya 55:9 (Biblia Takatifu)
Tofali za kuchoma si kipomo cha hali ya uchumi ila kwa dar es alaam nadhani ni upatikanaji wa tofali kuzisafirisha ni gharama lakini pia utamaduni wa mahali na nature ya mazingira na sheria za mazingira kwa dar ni ngumu kufyatua na kuchoma tofali.
Ila inawezekana kujengea na siku hizi zimekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.