Mungu amempa mwanadamu uchaguzi huru kati ya giza(shetani au nuru(Mungu)
Aliyeleta uovu ni shetani si Mungu, mwanadamu anafanya on his/her own emwill.
Warumi 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁸ Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa...
“Mimi ni Bwana; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.
”
— Isaya 42:8 (Biblia Takatifu)
“Kwa ajili ya nafsi yangu, kwa ajili ya nafsi yangu, nitatenda haya; je! Litiwe unajisi jina langu? Wala sitampa mwingine utukufu wangu.
”
— Isaya 48:11...
“Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
”
— Isaya 55:9 (Biblia Takatifu)
Tofali za kuchoma si kipomo cha hali ya uchumi ila kwa dar es alaam nadhani ni upatikanaji wa tofali kuzisafirisha ni gharama lakini pia utamaduni wa mahali na nature ya mazingira na sheria za mazingira kwa dar ni ngumu kufyatua na kuchoma tofali.
Ila inawezekana kujengea na siku hizi zimekuwa...
Lifespan ya tofali ya kuchoma ni kubwa kuliko ya cement, pia maeneo yenye fungus sana tofali za kuchoma zinasustain kuliko za cement.
Lakini pia tofali za cement siku hizi zinachakachuliwa sana kiasi ni bora utumie tofali za kuchoma. Ukipata tofali mfano kama ya mbozi mkoani songwe, tofali ya...
NDOTO NI MLANGO WA KULETA TAARIFA IWE MBAYA AU NZURI.
Ndoto yako inakupa taarifa ya unachokipitia au ulichokipitia na namna ulivyosaidiwa.
Kufungiwa mahali ni gereza la ulimwengu wa roho kwamba nyanja zako zote zimetekwa kupitia nafsi yako. Na kilichofungwa ni nafsi yako.
KUFUNGULIWA: umepata...
Vipi kuhusu mapenzi ya Mungu juu ya dunia hii hasa hao waparestina. Nadhani maombi yako yatakuwa na nguvu kama mapenzi ya Mungu yataamua ulivyoomba ila kama sivyo hutapata majibu unayoyatarajia
Umeiweka kitaalamu sana.
Ila tu kujadiliana na hawa wenzetu wa bimdogo utapoteza muda tu.
Mtazamo wa kiroho na mtazamo wa kimwili ni kama maji na mafuta, nuru na giza, hamwezi elewana.
Naona aibu mimi.
Hii nchi ina watu wa hovyo sana wasioelimika wasioijua kesho yao, wasiojua thamani ya maisha yao.
Wasiojua nini chakuongea wapi na wapi.
CHAMA SI SHIDA SHIDA NI SISI WANANCHI TULIO NA MAWAZO MUFILISI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.