Recent content by keepsake

  1. keepsake

    Nini maana ya ndoto hii?

    NDOTO NI MLANGO WA KULETA TAARIFA IWE MBAYA AU NZURI. Ndoto yako inakupa taarifa ya unachokipitia au ulichokipitia na namna ulivyosaidiwa. Kufungiwa mahali ni gereza la ulimwengu wa roho kwamba nyanja zako zote zimetekwa kupitia nafsi yako. Na kilichofungwa ni nafsi yako. KUFUNGULIWA: umepata...
  2. keepsake

    Wizara ya Elimu inaruhusuje watoto wanateswa hivi ili shule zionekane inafanya vizuri kimatokeo

    😂😂😂😂😂 skauti waliachiwa shule full kichapo, umenikumbusha mbali aisee hakuna watu walikuwa wanajiona wajanja kama wale walikuwa wanashinda gor
  3. keepsake

    Mwamini Yesu Umwone Mungu Katika Maisha Yako

    Barikiwa sana mtumishi
  4. keepsake

    Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

    Vipi kuhusu mapenzi ya Mungu juu ya dunia hii hasa hao waparestina. Nadhani maombi yako yatakuwa na nguvu kama mapenzi ya Mungu yataamua ulivyoomba ila kama sivyo hutapata majibu unayoyatarajia
  5. keepsake

    Nani kaipa mamlaka Israel ya kuishambulia Syria?

    Umeiweka kitaalamu sana. Ila tu kujadiliana na hawa wenzetu wa bimdogo utapoteza muda tu. Mtazamo wa kiroho na mtazamo wa kimwili ni kama maji na mafuta, nuru na giza, hamwezi elewana.
  6. keepsake

    PreGE2025 LGE2024 Wapiga kura, hakikisheni mnapiga kura kwa serikali iliyopo, viongozi mbadala hawana rasilimali za kutekeleza wanayoyaahidi

    Naona aibu mimi. Hii nchi ina watu wa hovyo sana wasioelimika wasioijua kesho yao, wasiojua thamani ya maisha yao. Wasiojua nini chakuongea wapi na wapi. CHAMA SI SHIDA SHIDA NI SISI WANANCHI TULIO NA MAWAZO MUFILISI
  7. keepsake

    Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani

    Wewe wasema siwezi kupinga mtazamo wako. Fikra zako haziwezi pokea kitu kipya zaidi ya unachokiamini😅😅🙌🏿🙌🏿
  8. keepsake

    Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani

    Kitu unachoshindwa kuelewa ni kwamba Israel wanalinda vitu viwili 1: raia 2: ardhi hivyo watafanya lolote kuvilinda. The same kwa parestina ila hamas hezbola na houth wao wamenunua ugomvi kwa maslahi ya kidini tu nyuma ya Iran na islamic kingdom
  9. keepsake

    Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani

    “Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini. ” — 1 Timotheo 5:8 KATI YA ISRAEL NA (IRAN, HOUTH NA HEZBOLLA) NI NANI ANAYETUNZA WA NYUMBANI KWAKE?
  10. keepsake

    Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

    Daaaa😅😅😅😅 ivi uliwaza nini kutoa hii comment
  11. keepsake

    Je, we Mtanzania kwanini unaichukia sana Hamas?

    Mathayo 24 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ³² Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu; ³³ nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.
  12. keepsake

    Watu waliobadili jinsia wanaweza kuwa wazazi wa ubatizo katika Kanisa Katoliki, mashahidi katika harusi za kidini na kubatizwa

    Mathayo 24 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ³² Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu; ³³ nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.
Back
Top Bottom