Nenda tu kanisani, waambie samahani. Kila mtu humo anajua no one sio kitu kigeni kwao, na wao sio Mola kukuhukumu kutokwenda kanisani. Wakiuliza vipi sema ulikuwa unantumia mwenza wako kukoleza mahusiano yenu, hapo watakuonea wivu pia. Na walio na wivu watakusema.
Pole sana ila bora hujatuma ya...
Rita zinachakachuliwa pia, hongo zinatembea.
Serikali isichukue labda kama wapewe wenye ndoa kwa aliyebaki na watoto wa ndoa. Wao waamue iweje hata watu wa mila wakae pembeni kisheria.
Shukurani
Ushauri
Andika iwe tayari kwenye mfano Word doc, ukija hapa ni copy and paste. Usifanye kuchelewa mwanzoni kuendelea kumbuka lengo ni unataka kusimulia yako na sio kusaka wasomaji na kupozi. Wasomaji watakuja tu, only hadithi ya Yoga ndio inavumilika kuisubiria iendelee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.