Recent content by kebi

  1. K

    Mama wa Ki Hehe alimpomtega mzungu!

    hv inakuaje mtu anatoa kichekesho mtu anadai copy & paste kwani kuna ubaya wengine tunakuwa hatujawahi kisikia km ww wakijua potezea ebo
  2. K

    Baba Chanja na mama Chanja!!

    mama chanjaaa weee ha ha ha
  3. K

    Uchumi supermarket quality center

    tangazo la bei ya 1700 ni TSN supermarket
  4. K

    Hatari kubwa!

    Teh teh was it made of plastic haiozi!
  5. K

    Mambo tisa kuhusu wewe

    ha ha ha kweli we great thinker
  6. K

    Majina maarufu ya Kihaya

    mpoki si la kihaya
  7. K

    Tenda

    Habari wana jukwaa tafadhari tupeane na michongo ya tenda pia nadhani kuna watu wamejiajiri kwa sekta mbalimbali itakuwa asanteni
  8. K

    Leo Wakuu ni Kufunguka Kuhusu Wahaya Unavyowajua!

    inaonyesha wahaya wana sifa nyingi mbaya kuliko nzuri naona wengi wamechangia zaidi upande mmoja wa shilingi..
  9. K

    Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

    Naomba kufahamishwa kwa mwenye kujua duka la rejareja la kuuza mchele, juice na kadhalika linaweza kuitaji mtaji kiasi gani Ibravo post: Habari zenu Wana JamiiForums, Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu,katika harakati za kujiandaa na kupambana na maisha pindi nitakapohitimu elimu yangu...
  10. K

    makao makuu eco bank tanzania

    tafadhari naomba kufahamishwa makao makuu ya eco bank tanzania yanapatikana mtaa gani?
  11. K

    Jf ilinikutanisha na tapeli wa mapenzi

    pole matapeli kila mahali sio kwa mtandao ni wewe tu kufanya utafiti wa kina kama unataka kuwa serious na mtu vinginevyo usanii mwendo mmoja afu ngoma inakuwa droo
  12. K

    Bikira ni kigezo cha kumpenda mwanamke?

    kila mtu alikuwa na bikira mda fulani.. sidhani kuwa na mwanamke mwenye bikira ndio kigezo cha mke mwema tafakari!
  13. K

    ndoa za siku hizi!!

    jamani maadili ya ndoa yameenda wapi kiapo cha kuishi pamoja kwa shida na raha mbona vyawashinda wanandoa. Tatizo nini hasa? Ndoa zavunjika kila kukicha kwanini?
Back
Top Bottom