Tatizo la ajira kwa watumishi katika mwaka tajwa inaonekana ni mfupa ulioishinda serikali ya JPM.Hakuna kiongozi hata mmoja wa serikali iwe Mh.Rais mwenyewe au wasaidizi wake mwenye jibu la uhakika kuhusu swala hili...Mh.Rais mbele ya umma wa watanzania alisema ajira zipo lakini anasitisha kutoa...
Habari wakuu....mi ni muhitimu wa chuo kikuu...nimehitimu Bachelor of Arts with Education...nipo dsm....nafundsha Geography na history..lakin pia kingereza....ninauwezo wa kufundsha English medium schools hadi form six..lkn pia vyuo mbali mbali ngazi ya cheti na diploma....kama kuna nafasi...
Kwel noma...kamanda w ndio unajibu haya leo...kweli ukomboz upo njian...najua ccm upo kimwili tu ila ki roho upo ukawa...na hapo kamanda lumumba ndio inawatumia hawa watu...ngoja uone watasema yote...only time matterz now....karibu gamba
Habari ndugu....
Naitwa morris daudi mtanzania ninaeishi dsm....tuna kampuni yetu ambayo tunatoa mafunzo ya ujasiliamari.....tunafundsha jinsi ya kufanya biashara kisasa....tunafundsha online marketing...ufugaji wa nyuki...kuku...samaki pamoja na kilimo cha uyoga....bila kusahau tunafundisha na...
Semina! semina! semina
Utajiri Nyumbani Kwako:
Dar es Salaam, 08/08/2015.
Ada ni TSH 15,000/=
Kwa mawasiliano: 0719 477 815
Kampuni ya Star Rock ya Ujasiriamali ya jijini Dar es Salaam,inakuletea semina kubwa kwa wajasiriamali itakayofanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.