Recent content by Kazinikazi

  1. K

    Mchezaji Bora Kuliko Wote Katika Historia ya Soka Tanzania

    Mimi nadhani ni Golden Boy "Zamoyoni Mogella"
  2. K

    Zitto ndani ya 835KJ

    Labda Nasari imegundua siri ya urembo
  3. K

    TV Program Alert: "Maonyesho Sekta ya Fedha" Watanzania Hawakopi Kwanye Mabenki!.

    Tatizo ya benki yetu yanacharge APR kubwa (20%>)na kibaya zaida lazima uwe na colateral ni watu wangapi wa na hati za viwanja au watu wangapi wako tayari kuweka mali zao rehani kwa ajili ya masharti magumu,halafu mikopo haikatiwi bima kumlinda mkopaji pengine ikitokea amekufa au amefisika.
  4. K

    Paul Chizzi amuumbua Mwakyembe

    BA pamoja na kuwa na ndege nyingi wanatumia washonaji wa ndani ya nchi !!, Inakuwa je sisi tunaotumia ndege za kukodi ,matumizi yetu yanakuwa makubwa hivyo?
  5. K

    MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

    Tatizo baadhi yao walikopa pesa nyingi kwenye mabenki na kwa watu binafsi kwa ajili ya kugobea ubunge wakithani wakiingia mjengoni watafanya madili, hawajua kuwa wananchi tumeisha funguka akili tunawafatilia kila walitendalo.
  6. K

    CCM: Jembe na Nyundo ni alama sahihi kwa nyakati?

    Maana yake kujivua gamba!!!
  7. K

    CCM na kifo cha mende

    Hawajiamini hata inafikia hawa wamini wakurugenzi wa wilaya!!
Back
Top Bottom