Recent content by KazidiBBM

  1. KazidiBBM

    Mvuke kwenye maji ya baridi chanzo chake ni nini?

    Mechanism uliyotaka kuvitumia kwenye context ya swali hili umechemka kasome jibu la mtu wa kwanza kabisa liko Waz hii concept Ni ya physics Zaid na sio bios kma unachotaka kuforce. Nimekuuliza kma vitundu vipo na ndio vinavyopitisha maji kwann maji hayaishi kweny chupa ? Ukumbuke mwili wa...
  2. KazidiBBM

    Mvuke kwenye maji ya baridi chanzo chake ni nini?

    Ulichoandika kinasomeka Ila sijakuelewa kidogo hivyo Nina maswali natamani unipatie majibu ili niweze kuelewa vizuri kwenye jibu lako, 1:Je hayo matundu yaliyo kwenye chupa yanatoa maji wakat yakiwa ya baridi tu?maana maji yakiwa kwenye normal temperature kma tununuavyo dukani hutoona huo mvuke...
  3. KazidiBBM

    Mvuke kwenye maji ya baridi chanzo chake ni nini?

    Hahahahahaha mwanga niliopata uliangazia njia nikapata general concept nikawa nimeelewa jumla kwamba yanatokea wap, kiufup nilikuwa nataka pakuanzia na alichoandika kilinipa majibu ndio maana nikamaliza kwa kusema Asante.
  4. KazidiBBM

    Mvuke kwenye maji ya baridi chanzo chake ni nini?

    Habari ya muda huu wanajamii, Nina jambo linanichanganya kidogo naomba ufafanuzi kwa anayefahamu. Hivi ule mvuke unaokuwa unachuruzika kwenye chupa ya maji ya baridi huwa unatoka wapi na kama umewahi fanya utafiti kama maji ni ya baridi sana na ukaiweka. Hiyo chupa kwenye chombo kingine kama...
  5. KazidiBBM

    The Vitruvian man: Ufahamu mchoro wenye utata kuhusu mwili wa mwanadamu uliochorwa na Da Vinci

    Tumia mguu wa kwanza na watatu utabaini pozi namba moja baada hapo tumia mguu wa pili na wa mwisho utaona pozi lingine tumia style hyo hyo hata kweny mikono pia utagundua hayo mapozi yanayosemwa hapo
  6. KazidiBBM

    The Vitruvian man: Ufahamu mchoro wenye utata kuhusu mwili wa mwanadamu uliochorwa na Da Vinci

    Hahahahaha kimsingi yanaweza fika kwasab mm Sina utaaramu wowot lakin nimefanikiwa huyaona mapozi 7 kwa haraka , kwa kutumia tu kuunganisha miguu na kichwa kimoja kimoja baadae nikaunganisha mkono mmoja na mwingine kwa kuitofautisha Kisha Tena nikaunganisha mguu mmoja na mguu mwgne yaan utaona...
  7. KazidiBBM

    Bongo Movie mnakera, kwanini hambadiliki?

    Yaan hawa jamaa sijui watabadilika lini unapoangalia bongo movie ni sawa na kupoteza muda nliona moja heti kaweka sumu kwenye chakula halafu akaonja kma imekolea ni shida
  8. KazidiBBM

    My girlfriend she is not proud to be with me

    Dah google translator ni kiboko yao wadhungu " maana kuna wadhungu na wazungu sasa mtoa post ni mdhungu"
  9. KazidiBBM

    Mwanzo wa meditation

    Mkuu rakims hyo ya kumjua mtu ni nzur zaid naisubr kwa hamu ilete
  10. KazidiBBM

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Ww huo mchezo inaonekana huuwez kma unajarb na kuacha utakuja kukucost
  11. KazidiBBM

    Ukweli kuhusu binadamu wa kwanza

    Kama binadamu wakwanza aligunduliwa kuwa alikuwa ni mtu aliyeishi bara la Africa lakini pia katika East Africa tena ni ndani ya nchi ya Tanzania ndivyo waandishi wa vitabu mbalimbali vya kidunia wasemavyo je ADAM na EVA/HAWA walikuwa wabongo? Maoni yako au msaada wako katika hilo kulingana na...
Back
Top Bottom