Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
wanakera sana, halafu ndio wanalalamika eti filamu zao hazinunuliwiNa kweli mahouse girls ndio wanaipenda sana.
Uongo uongo mtupu...sasa ukute wameact Action movie, utatamani upasue TV.
wanakera sana, halafu ndio wanalalamika eti filamu zao hazinunuliwiNa kweli mahouse girls ndio wanaipenda sana.
Uongo uongo mtupu...sasa ukute wameact Action movie, utatamani upasue TV.
iv najiulizaga kwanini wasiungane wafanye kitu kimoja kizuri navyosena kizuri namaanisha kuanzia script iwe ya kueleweka sio script inatosha daftari la mtoto wa chekechea tena like la vibox. Je tukisema tuangalie move na kutafuta kitabu cha hio move bongo move hio kitu ipo?. Wapo watu wenye kuandika script nunueni script hawajui mayo hio ni fani za watu tena majuu wanaheshimika sana. Sio mtu anaamka anachukua kamera anaelekea morogoro Mara posta utafikifi wanaenda kushoot video ya kwaya alafu akitoka hapo utasikia Nimefungua kampuni yangu!! dah seriously yani vikamera viwili na tuzagazaga kadhaa tuu wnawaza kufungua kampuniBongo movie wanasema filamu za mahausi girl.!
Unazungumzia wiki kuna muvi ilishutiwa masaa 6 ngoja niitie kapuni ila wahusika kama wako humu washaijua kina single mtambalikeTatizo Lao wanafanya kazi kwa kulipua,
Filamu wanashoot wiki moja, inayofuatia sokoni tayari!
Hollywood kuna filamu zinatengenezwa mwaka mzima, ikija kutoka, huko Box Office Ni balaa!
Mimi ni mpenzi wa comedy za kina king majuto,ringo,tin white...hawa majamaa nakubali kazi zao! Filamu ambazo si comedy nilishasahau maana mara ya mwisho niliangalia MOSES iliyoektiwa na marehemu KANUMBA!!!wakati mwingine bora hata za comedy nra2303
iv najiulizaga kwanini wasiungane wafanye kitu kimoja kizuri navyosena kizuri namaanisha kuanzia script iwe ya kueleweka sio script inatosha daftari la mtoto wa chekechea tena like la vibox. Je tukisema tuangalie move na kutafuta kitabu cha hio move bongo move hio kitu ipo?. Wapo watu wenye kuandika script nunueni script hawajui mayo hio ni fani za watu tena majuu wanaheshimika sana. Sio mtu anaamka anachukua kamera anaelekea morogoro Mara posta utafikifi wanaenda kushoot video ya kwaya alafu akitoka hapo utasikia Nimefungua kampuni yangu!! dah seriously yani vikamera viwili na tuzagazaga kadhaa tuu wnawaza kufungua kampuni
Ni kweli glory tatiz hawa jamaa zetu bana nakumbuka wakati fln ivi movie ilikuwa ikiisha wanasena toa naoni yako walkuwa wanaweka namba na email, ikafikia hatua wakaondoa kwa kile walichodai kwamba hawawezi kuproduce ktu ambacho kila mtu ataridhika nacho.Jamani tumeponda mno.
Sasa nini kifanyike ili kama mhusika yeyote wa hizo muvi atapita huku achukue maushauri.
Ushauri wangu
Kuwe na platform flan kama jamii forum or something else, ambapo movie mpya ikitoka inarushwa humo, kwa ambao wameshaiona wanacomment mapungufu yake na strength yake, then wahusika wanachukua for the purpose ya next movie.
Angalizo, every criticism waichukulie positive
Wakuu huwa mnaona vingiSuala wa wahusika kuvaa uhusika pia mnashindwa yaan mtu anapigwa rusasi anakufa alafu baada ya kudondoka chini anavuta nguo ili KITOVU KISIBAKI WAZIhiyo inakera sana.
Kuadivansii kwa mwendo kasiAma kweli tumeadivansii...