niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,671
- 5,471
Kwakua lugha uliyotumia sio ya taifa letu, sishangai kuona umekosea. Kwenye hili suala lako, inaonekana wewe ndiye unayempenda zaidi mpendwa wako kuliko yeye anavyokupenda wewe, hii ni hatari kwako. Jitahidi sana kupunguza mawasiliano mf kwa siku mpigie au mu sms si zaidi ya mara 2 kwa siku. Kua bize na shughuli zako pia punguza kuonana naye, jitahidi kwa wiki uonane naye mara 1 au 2. Punguza lawama jitahidi sana kutumia silaha inayoitwa ukimya. Kuhusu vizawadi au pesa, mpe inapobidi lakini usitoe kwa lengo la kupendwa.