MAANDAMANO YA AMANI + VIONGOZI WA DINI + DIASPORA
Nianze na ukweli ambao wengi tutakubaliana. Afrika hatuna mazowea ya kuwa na maandamano ya amani. Na hata zile nchi zenye uzoefu wa maandamano ya amani, huanza kwa amani na mwishowe huzuka fujo. Kwa nchi yetu ya TZ, na hasa baada ya yaliyotokea...
Nakubaliana nawe kuwa binadamu siku hizi ni wabishi, lakini ktk huu ubishi walionao, je unashauri nini kifanyike ili tuondokane na hali hii mbaya tunayoendelea kuishi nayo?
Umefafanua vyema tatizo ambalo sote tunakubaliana kuwa lipo. Lakini bado hujatusaidia ushauri wako wa nini kifanyike ili tuondokane na tatizo. Unajua moja ya matatizo ambayo wengi tunayo, ni hii hali ya kuendelea kulichambua tatizo bila ya kujaribu kushauri hatua za kulitatua.
TATIZO LIPO KWETU SI KWAO
Madhara na unyonge unaotukumba Waafrika, sababu kuu ni sisi wenyewe. Ni kweli wazungu wanaendelea kutubana kwa kutumia mbinu tofauti lakini uhusika wetu katika kufika hapa tulipo bado unabaki kwetu.
Huwa najiuliza na kukosa jibu nikiangalia mifano michache ifuatayo...
Usichokijua usikiongelee utawapoteza wanaotaka kujua. Na kama ulikuwa umeongea kiutani basi naona kadhia hii si ya utani.Try to be serious. Je wewe ushawahi kuja nje? Kama bado waulize rafiki zako watakujulisha kuwa hiyo idadi ya laki tatu unayoitaja ni ndogo mno
DIASPORA NA DENI LA TAIFA
Hakuna takwimu kamili, lakini inaaminika watanzania tuliopo ughaibuni tunafika milioni mbili.
Aidha wengi tunaoishi ughaibuni, tunajua nchi yetu ina deni la nje na la ndani japo wengi hawajui kiuhakika ni kiasi gani.
Leo ningependa kuja na ushauri ambao kwa wale...
SI UDAKU PEKEE…
Mbali ya sifa ya kupenda habari za udaku ambazo huwafanya wabongo wengi kukesha mitandaoni, kuna upande wa pili wa wabongo ambao wanayoyajadili mtandaoni hayana kabisa uhusiano na wale wa kundi la udaku. UTASUUZIKA NA MOYO YAKO UKIWASIKILIZA. Na hasa kama huna ile hulka hasi ya...
TUTAKE TUSITAKE TUTA(.…….)
Miezi minane iliyopita, nilipata bahati- mbaya/nzuri- ya kulazwa hospitali ya Red Cross Athens kwa COVID- 19. Kulazwa kwangu hospitali si hoja kinaishi kwa wale watu wangu wa karibu ambao hawaamini uwepo wa ugonjwa huu.
Kumekuwa na mjadala mrefu mno khs covid 19 na...
JE HADI LEO - 2019 - TUUKUBALI UBAGUZI HUU?
Jana 18/8 nilipoangalia vdeo aliyotuma MILLARD AYO khs mwanadada mweusi aliyekataliwa kuingia hoteli kule Zanzibar kwa sababu ya rangi yake nilikumbuka zile enzi ambazo kule...
Huu uhakikà wako wa 100% unaweza kuwathibitishia wanaosoma maelezo yako? Maana humu kila mmoja anasema lake kulingana na vile anavyojiona anajua. Hivi mnadhani mnajua sana kuliko vyombo vya uchunguzi vya serikali? Magufuli angemwamini vipi kumpa ubalozi kama Dr.Dau angekuwa na kasoro au mwizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.