Recent content by kayandam

  1. K

    Kwa mnaohitaji kununua magari - tukutane hapa

    Wakuu, Mwenye kagari kokote kenye namba D kwa million 5.5 nahitaji haraka sana, sharti kasiwe na engine inayozidi cc 1750.
  2. K

    ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

    Akili ile ile iliyotumika kutengeneza tatizo ndio inatumika kutatua ratio
  3. K

    ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

    Ndugu wanasayansi si ndio haohao walituacha tukapigwa miaka yote sasa hata wa kumuamini simuoni, tujipe moyo magufuli aangaike nao
  4. K

    SHULE INAUZWA DODOMA MJINI

    SHULE INAUZWA DODOMA MJINI, SHULE IPO KATA YA IPAGALA INAFAHAMIKA KAMA NURU SEKONDARI INA ENEO LA HEKARI NANE, VYUMBA 16 VYA MADARASA PAMOJA NA UKUMBI MMOJA. ENEO LILE UNAWEZA PIA UKABADILISHA MATUMIZI .KWA MTU ANAYE HITAJI PIGA SIMU ILI UPELEKWE UKAJIONEE WEWE MWENYEWE :0756578715
  5. K

    NATAFUTA GARI YA MIL 3.5 -4.

    MWENYE ESCUDO OLD MODEL KWA BEI HIYO ANITAFUTE SASA HIVI ,IWE AUTOMATIC
  6. K

    DODOMA :KIGOGO AVAMIA ENEO KIMABAVU

    Kigogo anayefahamika kwa jina moja la Maimu,amevamia eneo la shule ya sekondari Nuru ,iliyopo kata ya Ipagala na kuvunja makufuri yaliyokuwepo kisha akafunga yake na kuendeleza shughuli za ujenzi ,shule hiyo ambayo inamilikiwa na MAMA NURU(nuru group).Inasemekana kigogo huyo amekua na tabia ya...
  7. K

    USHUHUDA: Kuku wa kienyeji (Pure) - Biashara kichaa isiyo na tija

    Ndugu zanguni, mimi pia nafuga hawa kuku wa kienyeji na ninao hawa kuku 142,wakati nawanunua nilikua namatarajio makubwa sana yaani niwalishe vizuri wakue nipate mayai lakini haikua hivyo badala yake wakawa wanataka kwa kusua sua na hapo tayari nimetumia pesa nyingi kuwatunza ikabidi niwauze tu...
  8. K

    Loan Board ichunguzwe upya

    Ndugu zanguni, Kitendo kinachofanywa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu kinaonyesha dhahiri kuwa Bodi ile inaendeshwa kimagumashi. Sasahivi ili kuhakikisha wanakusanya madeni yote sugu wameanza kuwakata pesa hata watu ambao hawajawahi kukopa mikopo ya elimu ya juu na pengine hata hiyo elimu ya...
  9. K

    Loan Board ichunguzwe upya

    Ndugu zanguni kitendo kinachofanywa na bodi ya mikopo ya Elimu ya juu kinaonyesha dhahiri kuwa bodi ile inaendeshwa kimagumashi. Sasa hivi ili kuhakikisha wanakusanya madeni yote sugu wameanza kuwakata pesa hata watu ambao hawajawahi kukopa mikopo ya elimu ya juu na pengine hata hiyo elimu ya...
  10. K

    Huyu mkuu wa wilaya ndie aliyezimia Mufindi

    duh ni hatari sana
  11. K

    Kiwanja kinauzwa Mtwara Mjini

    wewe sio mnunuaji wenzio wanapiga simu
  12. K

    Kiwanja kinauzwa Mtwara Mjini

    kama upo serious piga simu nitakupa maelekezo.
  13. K

    Huyu mkuu wa wilaya ndie aliyezimia Mufindi

    Ndugu zanguni, nimeona uteuzi wa mkuu wa Wilaya ya Mbeya nikakumbuka huyu si ndio yule aliyekuwa mkurugenzi wa Mufindi akakumbwa na kashfa mpaka akadondoka kwenye kikao!!! link hii inaonyesha siku ya tukio ilikuaje. MKURUGENZI WA MUFINDI MATATANI, KWA TUHUMA ZA UBADHILIFU WA MILIONI 291
  14. K

    Mtumishi wa umma atakayekwenda kusomea 'first degree' sasa kuchukua likizo isiyo na malipo

    Mtumishi atakayekwenda kusomea FIRST DEGREE anatakiwa achukue LIKIZO ISIYO NA MALIPO na hastahili kulipwa chochote na Mwajiri wake ikiwa ni pamoja na kutolipwa Mshahara kwakuwa HAYUPO KAZINI.....kwa ili nimeamini wafanyakazi wengi tz wanavumilia kazi sio wanafanya kazi.
Back
Top Bottom