Roving Journalist,
Inasikitisha kuona bado kuna viongozi waandamizi wanaendeleza mambo ya ajabu. bora hatua zinazochukuliwa dhidi yao ziendelee huenda waliobaki watabadilika. Big Up Mhe. Rais.
Chadema, Chadema, Chadema. What a mess! Watanzania tunataka kufanya kazi na si kuwasikiliza nyie. Kumbukeni mliyoyasema Nzega wakati wa kampeni kuhusiana na MCC na nini mliasema hivi majuzi MCC walivyoondoa kimsaada chao! Wasio na uwezo wa kufikiria ndiyo wanaowakubali ila mimi NO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.