Recent content by Kayagamba

  1. K

    Kumekucha: CCM kuwafungia Maisha wagombea watakaokutwa na hatia ya rushwa kwenye uchaguzi mkuu

    Is it? Basi nihabari njema kama itafanyiwa kazi.
  2. K

    Dar, Banana: Rais Magufuli azindua nyumba za Askari Magereza Ukonga

    Roving Journalist, Inasikitisha kuona bado kuna viongozi waandamizi wanaendeleza mambo ya ajabu. bora hatua zinazochukuliwa dhidi yao ziendelee huenda waliobaki watabadilika. Big Up Mhe. Rais.
  3. K

    Prof mmoja aliwahi kuniambia, "Ogopa zaidi hapa dunia Watu wajinga, maana wakiwa wengi wanaweza kumchagua Rais"

    Kwa hiyo wewe ndiye mwenye akili kuliko watanzania wooooote?!!!!!
  4. K

    Shujaa Wa Tanzania Hachaguliwi Kwenye Makongamano Yanayofanyika Nje Ya Nchi

    Kaka Mpendazoe upo? Utakumbukwa tu katika teuzi naona nafasi bado zipo za U-DC. Tehe tehe tehe.
  5. K

    Mkurugenzi wa NHC mashaka yangu ni muda ulioutumia

    Hakuna maswali, notice walipewa kufurushwa ni sawa kabisa. Septemba Mosi hiyo;)
  6. K

    Kampuni ya kada maarufu wa CCM ndugu Bulembo matatani

    ...tatizo lipo...deni lilipwe basi.
  7. K

    How Mbowe Hotels fixed NHC

    Alitaka kutumia maandamanio kuhamisha ajenda ya kudaiwa na NHC
  8. K

    Yaliyojiri Kutoka Ufipa: Mkutano wa CHADEMA na waandishi wa habari, maandamano ya UKUTA yaahirishwa

    Hahahahaaaaa! UKUTI, UKUTI, wa Mnazi wa Mnazi.....
  9. K

    Kamera Yasahaulika kwa Muda

    Kwa hiyo ulitaka asile chakula?
  10. K

    Limbwata limekolea hapa

    Kwani ukibeba mwanao kuna tatizo gani?
  11. K

    Profesa Muhongo aliposherekea birthday kijijini kwao

    Inavutia sana. Hongera Mzee Muhongo.
  12. K

    Tujuzeni kinachoendelea Zanzibar

    Tetesi ni kuwa wananchi wa zanzibar wanafanyakazi na biashara kama kawa
  13. K

    CHADEMA kuwasha moto nchi nzima

    Chadema, Chadema, Chadema. What a mess! Watanzania tunataka kufanya kazi na si kuwasikiliza nyie. Kumbukeni mliyoyasema Nzega wakati wa kampeni kuhusiana na MCC na nini mliasema hivi majuzi MCC walivyoondoa kimsaada chao! Wasio na uwezo wa kufikiria ndiyo wanaowakubali ila mimi NO.
  14. K

    Kuna sababu gani watu kupanda mabasi bure kwa siku mbili!

    Wewe umechangia nini katika uchumi wa nchi hii?
Back
Top Bottom