Elimu ya hapa na pale
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 846
- 824
KWIKWIIII KWIIIIIIIIII UKUUUUUTAAAAA . MIMI TAAANDAMANA PEKEANGU. SASA ILE T.SHIRT TAIVALIA WAPI.????
Mtu kama huyu angekuwepo nchini wala asingeandamana, anachochea wenzake kwa mbali tu ili baadaye akisikia watu wamevunjwa miguu anachoweza kufanya ni kutoa tamko la kulaani tu. Tunatakiwa tuwe mbayuwayu kwa kuchanganya na zetu.
Ukweli mtupu.
Firewall au?Hawana jipya hao.
Ukuta umebaki Mitandaoni
Ukweli mtupu.
Mkuu tafadhal kama inawezekana naomba kupata mawasiliano yako maana nnapokutana na wazalendo wenzangu najicki faraja sanaaa Mungu akubariki wewe na kizazi chako chote,abariki na kazi za mikono yakoKilichobaki kwenu na kama ilivyo kawaida yenu ni matusi, kejeli, dharau na majigambo....Nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni Watanzania na ambao ni wazalendo...nchi hii siyo ya vibaraka wanaokimbilia kwa wazungu na kuwaita waje huku waone mauaji yanayotarajiwa ...Viongozi wa upinzani hawana hata chepe la uzalendo...wao wanapigania kumdhalilisha Rais wetu na 'kumchongea' kwa wazungu...wapinzani wanafurahi nchi inyimwe misaada, wanapambana waone Rais wetu anashitakiwa kwenye mahakama ya kimataifa....wanadai demokrasia lakini wao wenyewe ndani ya vyama vyao hakuna hata chembe la demokrasia....ubunge wa viti maalum wanapeana wao kwa wao, ndugu zao, dada zao, mashemeji na kadhalika...mtu akiwa na mawazo tofauti ndani ya upinzani anaondolewa na kuitwa kuwa ni msaliti...nchi hii haiwezi kuongozwa kwa porojo na maandamano, Enzi hizo zimekwisha...hakuna kubembelezana, maendeleo ya nchi hii ikibidi yatakuja kwa nguvu, anayetukwamisha kwa kisingizio cha kuminywa kwa demokrasia atashughulikiwa tu...
Mkuu sawa mbowe amefanya jambo jema lakini hata mwitikio wake ulikuwa umeanza kupwaya kitendo cha JPM kukutana na EL automatically kilishusha molali ila kwa watu ambao hatufungamani na pande yeyote ilikuwa ni kero maana usiku mchana kutwa story ni hiyo hiyo tuNiliisoma Yahoo, kuna mwandishi nadhani wa Kenya yule akaiweka kama vile hali ya Tanzania ni tete.
Binafsi namshukuru Mbowe na Team yake ya mradi wa ukuta kwa kuweka maslahi ya vijana wetu ambao wengi wao ndio wangepambana na vyombo vya dola, kupata adha, majeraha pengina hata vifo na kuziachia familia zao majonzi na pengine umaskini zaidi.
Hujaona wengine wameita kikosi ofisini ?hofu ya nini kama wababe?hamna jipya washaufyata zmebaki siasa za ufipa
Wapeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,safi saaaaaaaaaaaaaaaana
Ukweli mtupu.
Mkuu sawa mbowe amefanya jambo jema lakini hata mwitikio wake ulikuwa umeanza kupwaya kitendo cha JPM kukutana na EL automatically kilishusha molali ila kwa watu ambao hatufungamani na pande yeyote ilikuwa ni kero maana usiku mchana kutwa story ni hiyo hiyo tu