Recent content by Kaunara

  1. Kaunara

    Nimenusurika Kupigwa Risasi na Polisi usiku huu

    Nimeumia sana ndani ya moyo wangu. Dk 45 zilizopita nilikuwa na mke na mtoto wa miezi sita tumetoka pharmacy kuchukua dawa na gari. Sababu za kiusalama siwezi taja ni sehemu gani. Navyorudi nikapaki kwenye duka pembeni ya barabara nilikuwa na kiu. Baada ya kupaki wife nae akawa ananiagiza...
  2. Kaunara

    PostGE2025 Kuna mpasuko mkubwa wa kidini unanukia Tanzania. Chanzo ni wanasiasa!

    Hamna kitu icho mimi nimeoa muislam huwezi kubagua muislam na mkristu kwa Tanzania kwa sasa.
  3. Kaunara

    Dr. Tulia na Jicho la Sheria

    Moja ya upepo ambao Tulia kausoma ni ule wa ICC. Mambo yanazidi kuiva ni suala la uvumilivu tu wanachukua mda mlefu kufanya uchunguzi ila watanzania mtaenda kuona na kusikia mengi. Moja ya vitu mtaenda kusikia nia utajiri na hela ambazo zinamilikiwa na watz kwenye acc za nje.
  4. Kaunara

    Sikushauri utoke mikono mitupu

    Habari Usikubali kutoka mikono mitupu ukisikia mwizi yupo ndani ya nyumba. Hivi sasa wezi wengi wanadamu za watu mikononi hivyo kuua kwao ni sio shida. Unaweza kuibiwa vile vile ukapata kichapo cha maana. Sijaandika kukuogopesha ila kuwa makini. Ukiamua kutoka kwenda kumkamata mwizi toka upo...
  5. Kaunara

    PostGE2025 SPika: 'Baba Levo' sio jina lako anza upya

    Tutaishia kufa tu. Uwezi kuitoa ccm kwa maandamano. mzigo unatakiwa kupigwa usiku kwa usiku tena kushtukiza. Asubuhi kila mtu yupo kwake.
  6. Kaunara

    PostGE2025 SPika: 'Baba Levo' sio jina lako anza upya

    Baba levo ndo anaenda kutunga sheria bungeni ambazo profesa wa tz anatakiwa kufuata. Kuna mda ccm embu jaribuni kuona kuwa hii ni nchi.
  7. Kaunara

    Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Habari wadau. Katika tembea zangu nimekutana na hii apps ina games za web3. Hii apps nimeona ni nzuri kwangu sababu inalipa mtu kwa survey utazofanya ndani. Ila ndani yake kuna games nyingi sana. Games hizi ni za web3. Ambapo unalipwa kutokana na games kucheza na level unayofikia. Kila level...
  8. Kaunara

    Plastic swimming pool kama hii ntapata wapi kwa Dar?

    Hello! Kama kichwa cha habari kinavyosema.
  9. Kaunara

    Mafuta ya Safi na Korie yanatokana na Alizeti gani inayoganda?

    Habari za mda huu! Naenda kwenye mada fupi tu. Nimetaja mafuta hayo sababu common sana kwa wengi wetu. Ila kuna mafuta mengi yapo mtaani ambayo yanaganda. Na uhakika wa haya mafuta kuwa yanaganda kwa asilimia 100. Na mafuta haya hutengenezwa na alizeti kwa mujibu wa watengenezaji, ila ukweli...
  10. Kaunara

    Hamna pesa rahisi online, jua hilo

    Hatukatai ila ni wangapi kwa mwaka wanakuwa matajiri? Weka hapa.
  11. Kaunara

    Hamna pesa rahisi online, jua hilo

    Ndo huko kutolea jasho.
  12. Kaunara

    Hamna pesa rahisi online, jua hilo

    Vijana hata watu wazima wengi bado wanaimini kuna kazi au pesa rahisi unaweza pata kupitia simu yako au kuwa online. Chini ya hili jua hamna pesa rahisi. Pesa halali ni ile ya kuitolea jasho. Kama kuna mtu Tanzania hii analea familia yake na anasomesha watoto wake na online money aje aseme...
  13. Kaunara

    Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

    Kuna kitu hapa umeficha hakipo sawa. Mwanamke kufika hiyo stage umefanya jambo baya ambalo wewe mwenyewe uwezi kuliweka hapa. Jua tu mwanamke ni tofauti na mwanaume akisema hivo ujue anasema kweli kwaiyo kama unampenda na umemkosea kweli muombe msamaha taratibu. Na hadi hapo huyo msichana ni mtu...
Back
Top Bottom