Bila shaka wilaya ina mtambua mwalimu aitwaye LWESHABURA KYABUGERA mwalimu aliye jituma ikiwa ni pamoja na kufungua vituo kadhaa kama mtaaramu wa viziwi baada ya kumaliza masomo yake kwenye chuo cha uaimu patandi 2007 aliweza kufungua vituo na kufuata watoto nyumba kwa nyumba katika maeneo ya...
Ndugu zangu leo hii naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa. Yupo mwalimu aliyejulikana kwa jina la Lweshabula Kyabugera kutoka wilaya ya Muleba.
Akiwa kama mtaalamu wa kwanza katika wilaya hiyo kama mwalimu wa viziwi aliweza kufungua vituo viwili kwa gharama zake mwenyewe.
1. SHULE YA MSINGI...
Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka jana PCB nilipata point 11 nilipata CHEM-B.BIOS-B.PHYZ-D.BAM-B ninataka nifanye aplction kuomba MD katika hiki chuo naomba mwenye ufahamu anijuze vip kinakuwa na competition? na vipi kwa ifaulu wangu naweza kupata md? na kama hawezekani naomba ushauri wa...
Mimi nilimaliza mwaka jana nilipata physcs-D.Chemistry-B Biology-B BAM-B nataka nichague MD. Kwa mlolongo huu je ntakuwa sahihi
Bugando, Archbishop, KCMC, HKUM, SFUCHAS?
Naomba ushauri.
2.Kingine wakati wa udaili munaangaliaga vitu gani vitatu muhimu vinavyo mfanya mtu awe succesfully selected?
Habari za shughuli wadau nilitaka nifahamishwe juu ya hili :
nasikia ili kuhairisha masomo chuoni kama umeshasoma lazima uandike barua chuoni sasa ni utaratibu gani stahiiki unafuatagwa chuoni sababu nasikia vyuo vigine watu huwa wanagomewa naomba msaada tafadhari njia ipi ifuatwe ili kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.