tuuzwe mara ngapi?wapi hapo pamejaa maziwa na asali na mm nihamie huko.hata wewe ungepewa bilion ungekataa?au maneno ya mkosaji.hapa tusubir 25oct ndo kuna majibu
ushauli uctafute mme kwenye mtandao biblia inasema mme au mke mwema hutoka kwa Bwana hivyo funga nakuomba ukiamin mungu atafanya ukiona ni mzigo mzito washilikishe wale unao waamin ikiwa ni pamoja na mama mchungaji wako.god is good every time usikate tamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.