Natafuta mme mwema

Natafuta mme mwema

Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji wa maisha km Mimi tuwasiliane kwa email karungimiteni@yahoo.com plz naomba uwe serous na ni muhitaji kweli

duu! miaka 32 ni bint bado!
 
Ila jmni hayo majibu mmh sasa mtu anataka mme mbona mnamshambulia jmni kam hautaji au unae tayari si unyamaze tu duuh
 
ushauli uctafute mme kwenye mtandao biblia inasema mme au mke mwema hutoka kwa Bwana hivyo funga nakuomba ukiamin mungu atafanya ukiona ni mzigo mzito washilikishe wale unao waamin ikiwa ni pamoja na mama mchungaji wako.god is good every time usikate tamaa
 
Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji wa maisha km Mimi tuwasiliane kwa email karungimiteni@yahoo.com plz naomba uwe serous na ni muhitaji kweli

Nipo hapa mwaya
 
huna sifa ya kujiita binti.achilia mbali umri.ulishagegedwa mpaka ukazaa unategemea utakua binti SEMA mama mwenye mtoto mmoja.ila ulie vunja nae amli ya 6.ndio wa kukuoa.maana miaka yako ni mingi sana.inaonekana tabia zako mbovu mpaka unakuja humu kutafuta wanaume alie kusalisha alikuona tabia zako mbaya.

Don't judge the book by its cover kumbuka hii ni dunia nasi tunasafiri usijione umefika hapo ulipo rafiki yangu
 
ushauli uctafute mme kwenye mtandao biblia inasema mme au mke mwema hutoka kwa Bwana hivyo funga nakuomba ukiamin mungu atafanya ukiona ni mzigo mzito washilikishe wale unao waamin ikiwa ni pamoja na mama mchungaji wako.god is good every time usikate tamaa

"kumbe mke mwema anatoka kwa BWANA" ngoja nisubiri mwanamke aliyeachika toka kwa bwana ndiye nitakayemuoa
 
kama una mtoto wewe ni mke wa mtu
 
Kwangu mimi ume over qulify, ila nakutakia kila la kheri umpate yule atakaye endana na haja ya moyo wako...
 
ushauli uctafute mme kwenye mtandao biblia inasema mme au mke mwema hutoka kwa Bwana hivyo funga nakuomba ukiamin mungu atafanya ukiona ni mzigo mzito washilikishe wale unao waamin ikiwa ni pamoja na mama mchungaji wako.god is good every time usikate tamaa

Kwani BWANA hayupo kwenye mtandao?
 
Wanaume wema tupo bize na Ukawa dada,kwa sasa utapata hawa matapeli,wezi kutoka ccm,ushauri tu rudi hapa november tukishaiua ccm
 
Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji wa maisha km Mimi tuwasiliane kwa email karungimiteni@yahoo.com plz naomba uwe serous na ni muhitaji kweli

Ungewaka angalau kapicha ingekuwa rahisi kumpata humu humu maana tupo kibao tu
 
Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji wa maisha km Mimi tuwasiliane kwa email karungimiteni@yahoo.com plz naomba uwe serous na ni muhitaji kweli
Picha ww usituuzie mbuzi kwenye gunia usije ukwa na sura kama tyle kiongozi wetu anesuka nywele za twende kilioni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom