nadhani hawakuwepo wahandishi wa habari makini vp? wanashindwa kuuliza maswali ya msingi kama kwa maana yake hawana sababu ya kudai iwapo wazazi wake na hao babu zake wamezaliwa baada ya mwaka tajwa katka hiy press conference bado shaka lipo iwapo ha wazazi wake wamezaliwa baada ya mwaka tajwa...
MENGI YUKO SAHIHI: ANGALIA TOFAUTI ZA KIFKRA KATI YA HUYU WAZIRI WA MOZAMBIQUE NA WAZIRI WETU MUHUNGO NA HII NDIO MAANA ANAIGOPA MOZAMBIQUE HUYU JAMAA ANA UZALENDO NA NCHI YAKE, NA BONGO LAKE LINACHEMKA, KIBAYA SIO PROFFESSOR KAMA WETU.
Revisions to mining and oil laws should help...
Imeandikwa na Na Charles Mullinda|Alhamisi, Januari 17, 2013 06:16 -
*Serikali yadaiwa kuchakachua bei halisi ya ujenzi
*Gharama za mradi huo zimeongezwa maradufu
*Zitto Kabwe adai kuwa viongozi wamehongwa
KASHFA mpya ya ufisadi wa mamilioni ya Dola za Kmarekani zilizokusudiwa kutumika...
afaahamu ya kuwa habari inevuja kuwa ni mradi wake na boss wake maana ukweli ametuonyesha obama aliposaini mradi wa simbion kumaliza tatizo la umeme tz wakati yeye alidai gesi ni kwa ajili ya umeme wa tz jana anasema umeme wa kuuza nje ya nchi
Mtwara si wendawazimu|Paschally Mayega
RAIS wangu, walioliona jua kabla yetu wanasema kwenda mahakamani si kushinda kesi. Leo tunaambiwa wana wa Mtwara ni wa choyo. Wanataka gesi ya Tanzania iliyopatikana Tanzania sehemu ya Mtwara iwe yao peke yao! Na kwamba Watanzania wengine ambao...
VIPI MBONA wanachelewa kuja mtwara huku niza kumwaga tu mpaka meya ameshindwa chama cha magamba yeye pamoja na mwenyekiti wa wilaya wa ccm mtwara mjini
Watu wengi walitaka tu kujua kama yeye yuko upande gani katika hili suala la gesi maana wenzake wote wamejitambulisha kwa wananchi wa kusini bado yeye tu.
Kama hataki kujijulisha ni vema tu, maana sisi kwa akili za kuzaliwa tu tunajua hawezi kuwa tofauti na boss wake, na hii si hatari kwetu ni...
kaka tumezidiwa kama wanaweza kujitegemea kwa 98% sisi tuko nyuma kwa 50% ni hatari sana kwa uchumi wa nchi maan hatuwezi kujitegemea wenyewe yaani hatuna tofauti na baba anaye weza kununua unga tu mboga kwa jirani kila siku na suala la vijijini kwao ni sawa tu huku kwetu vipo vijiji vingine...
Ufisadi mkubwa bomba la gesi
Imeandikwa na Na Charles Mullinda
Alhamisi, Januari 17, 2013 06:16 -
*Serikali yadaiwa kuchakachua bei halisi ya ujenzi
*Gharama za mradi huo zimeongezwa maradufu
*Zitto Kabwe adai kuwa viongozi wamehongwa
KASHFA mpya ya ufisadi wa mamilioni ya Dola za...
ukweli upo katika maelezo ya namber ambayo voda wanaikataa si yao, kama si yao waseme ni ya wapi?.hii hapa 44780200332 ni center number ilitoa ujumbe wa kwanza kwenda kwa Lema ambao vado wanaikataa. wanakubali majibu ya ujumbe wa kwanza kwenda kwa Mulongo yaliofuata baada ya ujumbe wa kwanza...
Matukio haya yanalitia doa Jeshi la Polisi
JANA vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini viliandika kuhusu kukamatwa kwa askari wawili waliokuwa wakisafirisha magunia 18 ya bangi kwa kutumia gari la Mkuu wa...
Ina maana kila jambo linalo tolewa na (CEOrt) round table yenu halitazamwi tena kwa jicho pana? mbona watu wengi wapo ambao hazionekani itikadi zao moja kwa moja. maana kuna wakati utafika ambao watu watakataa kupokea mada hata kama ni mzuri baada tu ya kujua imetoka upande fulani wa siasa...
:nod:
mchague mtu wa kitaifa zaidi utapewa ongera na kazi unayoitangaza itakuwa na mashiko. maana yangu sio katibu wa ccm mwenye kashfa ya ujangili teua mtu wa taasisi isiyokuwa ya kichama cha siasa naona unapenda sana hawa makatibu wa vyama vya siasa. ndio unabalance nini? bila shaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.