Kiongozi naomba nikushukuru kwa andiko lako,lakini tambua kuwa mkuu wa mkoa wa mbeya hana taaluma ya uongozi hivyooo anajiendea tu.(alikuwa assistant lecturer) yeye kama mkuu wa mkoa angeweza ku-handle suala kwa utulivu bila kugharimu maisha ya watoto na athari zingine za ki-saikolojia (kielimu)...
IQ yako iko vizur,nashukuru pia kwa hekima dhidi ya ufafanuzi au majibu sahihi,mh rais ameshaur ofisi ya DPP Ione kama inafaa kuweza kupitia mashauli hayo na kushirikiana na mamlaka za ki-upelelezi(jeshi la polisi)ili kuondoa adha ya muda wa ufuatiliaji kuwa mkubwa na pengine kuwatesa...
Sidhani kama unatambua sheria dhidi ya hao wafanyao hivyo,na ndio maana wao wameridhia kuandika barua na wewe huna msaada wowote wa kusaidia tofauti na kutoa matusi...ongea kwa hoja
Kiongozi ni kweli mahabusu sio mtuhumiwa rasm na pengine anaweza asiwe na hatia,lakini tujiulize kama taifa kwa nn waandike barua za kukiri kama hakuna kosa wala viashiria vya kosa na je?ni wahujumu uchumi wote wameandika barua za kukiri, je wamelazimishwa kufanya hivyo,mungu akupe hekima na...
Huwezi pata wapiganaji makini kwa kurisisha ajira,kama taifa ni lazima kuwe na mpango mkakati wa jinsi ya kupata watu sahihi kwa kazi husika sio mtoto wa flani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.