Ushauri kwa Director Modestus Francis Kipilimba - Part II

Ushauri kwa Director Modestus Francis Kipilimba - Part II

Zoezi hilo liliendana na kupunguzia kodi biashara mpya zinazoibuniwa, mapato ya serikali (kodi, ushuru na tozo mbalimbali) ziliongezeka very automatically kutokana na kukuza uzalishaji.
Sijui kwa nini hao watendaji wa srikali na wasaidizi hawana jicho kama hili.

Leo hii mabasi ya mradi mkubwa kama wa mwendokasi eti yanatozwa kodi.

Kwa umuhimu wa mradi huu mabasi yale yasingepaswa kutozwa kodi.

Salut kwako fredwaaa
 
Matuja umeandika vzr, maoni mazuri sana..tuko na matatizo nchi yetu kwanza kama mmoja mmoja, lkn pia kama watanzania..la kwanza kama mmoja mmoja ni attitude, kwamba usomi wangu unanijengea tabia ya kujiona najua kila kitu, wivu, ubinafsi na wakati mwingine dharau pia, zaidi wengi walio ndani ya mfumo wa serikali wao kupata hizo nafasi ni kama wamefika anachojua kufanya ni kuwa KEEPER wa yale yaliyopo hana muda na hahitaji kuwa na jambo jipya, la nini kwake wakati mwisho wa mwezi mshahara wake uko pale pale??..kama watanzania au nchi, mfumo wa serikali ulivyo hauna mlango kuruhusu mambo mazuri nje ya mfumo wa serikali kuingia kwenye mfumo wa serikali, sijui pengine kwa kuamini kwamba wale waliomo ndani ya mfumo wa serikali ni bora sana kuliko wote walio nje ya mfumo wa serikali, which is wrong!!!
Mambo mawili yanaweza saidia kuwa na watu wenye maoni kama ya Matuja ndani ya serikali au hata wakiwa nje ya serikali maoni yao yatapata nafasi kutekelezwa na serikali..
1. Ajira za kada ya kufanya maamuzi ndani ya serikali, pamoja na mambo mengine zipime utendaji wa wahusika kwa kuangalia mambo mapya mangapi wameanzisha, wametoa majibu(solutions) ngapi kwa changamoto walizozikuta..haya yakikosekana, ajira inaishia hapo anatafutwa mtu mwingine.kwa maana hiyo kuwa na mfumo wa ajira za kudumu uondolewe.
2. Taratibu za uajiri na hasa kwenye usaili wahusika waulizwe philosophical questions, sio vyeti na grades, philosophical questions zinasaidia ku-reveal uwezon wa muhusika kutenda, brain energy kusolve matatizo, ubunifu nk itasaidia kupata right people na sio KEEPERS!
3. Tufikirie kuwa na kongamano la kitaifa linaloalika kila mwenye jambo zuri kusikilizwa na kuulizwa maswali ya hicho anachodhani ni kizuri kwa nchi yetu na akithibitisha na kukitetea kichukuliwe kifanyiwe kazi hasa kwenye sekta muhimu zinazoathiriwa na mabadiliko ya kidunia, Elimu, afya, uchumi, ulinzi na usalama, teknolojia, biashara na uwekezaji, kilimo,ufugaji na uvuvi pia.
Vinginevyo bado tutaendelea na udumavu huu kwa miongo kadhaa ijayo..!
 
Kumbe Rais Magufuli ni msikivu sana.
P
Paskali sijakusoma kabisa.
Ila kuweka kumbukumbu sawa, it was truly a piece of advise which is aimed to take us (as a Nation) to another economic dimension (Economic Security & Economic Sovereignty).
Na hapakuwa na nia hata kidogo ya kusemeana kwa C in C
 
Hata huyu atasamehewa maana ndiyo utaratibu wa sasa, kutenda kosa sirini, kuadhibiwa adharani, kisha kuomba msamaha na kusamehewa hadharani.
 
Paskali sijakusoma kabisa.
Ila kuweka kumbukumbu sawa, it was truly a piece of advise which is aimed to take us (as a Nation) to another economic dimension (Economic Security & Economic Sovereignty).
Na hapakuwa na nia hata kidogo ya kusemeana kwa C in C
CinC kusoma hapa, akamtathmini jamaa, kushindwa, akamng'oa.
P
 
Jamaa yangu sina cha kukwambia, ila huwa nawafikiria sana hawa wanaokimbia na ving'ora barabarani wanajifanya wanaharaka sana lakini mawazo kama haya ya mwana JF hawana..

Binafsi naamini samaki tu wanatosha kukutoa kama tutaamua kuvua kwenye bahari, mito na mazawi yetu, na sio kutegemea hawa local fisherman na vimitumbwi hivi. Uwekezaji mkubwa unahitajika wa fish trawler's na mabwawa ya kufugia samaki.
Wakatimwingine sheria zetu nazo ni kikwazo. Mimi nilikwenda Ziwa Victoria kuuliza utaratibu kama nataka kufuga samaki ndani ya ziwa( Cage Fishing) Afisa uvuvi akasema sheria hairuhusu ladba uchimbe dimbwi lako huko. Sasa hapo kweli tutatoboa kwa mtindo huu?
 
Binafsi nimepitia part 1 na hii part 2. Nimependa. Kuna hoja hapo kuunganisha nguvu na mikakati ya wizara ya vijana, kilimo, mifugo na uvuvi na biashara nk..Itaongeza ajira kwa vijana. Badala ya nchi kukopa hell na kupeleka bank ya kilimo basi iangalie jinsi ya kutumia hizo wizara kuongeza ajira kwa vijana kupitia ufugaji na kilimo na IT katika kilimo na mifugo. Kama wewe nimewahi andika katika taasisi kadhaa za umma ziangalie hilo lakini hakuna anaona umuhimu wake. Naamini mkuu wa usalama atachukua ushauri wako.
Mku wanaokopa hizopesa benki za kilimo ni wafanyabiashara wanakuwa na mashamba kama ushahidi lakini hawapeleki pesa yote kwenye kilimo wanaingiza kwenye trading. Benki inchoangalia wewe urudishe marejesho basi. Umewekeza wapi sio kazi yao.Hapo napo bado changamoto.
 
Huwezi pata wapiganaji makini kwa kurisisha ajira,kama taifa ni lazima kuwe na mpango mkakati wa jinsi ya kupata watu sahihi kwa kazi husika sio mtoto wa flani
 
Hivi mtu kweli kabisa anapata mda wa kuandika maandishi haya zaidi ya laki moja kwenye keyboard

Nadhani atakuwa amekosa kazi nyingine za kufanya
umesoma lakini? kama kwa andiko hili fupi hamwezi kusoma nakuona madini ndani yake basi bado tunasafari ndefu na tusitegemee kufika
 
Mambo mazuri hayataki haraka kaka!
Salute.
Kadet
Chinese proverb that says: “
The best time to plant a tree
was 20 years ago. The second
best time
is now.”
Honestly siko hapa kumlaumu mtu; ila sikubaliani ni huo msemo wa wahenga kuhusu mambo mazuri hayataki haraka.
Mara kwa mara huwa naipenda solution ya Yusufu kwa Farao ambae alikuwa Mkuu wa Misri. It was real economic and life saving.

Yusuf alimshauri Farao, ndani ya miaka 7 ya neema ya chakula, that was a prime time to stretch by establish food reserve kwa ajili ya Misri na mataifa jirani. Ili siku njaa ikija wawe prepared.
Tanzania tuna bahati kwa sasa. JPM is a doer, haogopi kukosea kama kutakuwa na deliverables. We still have 6years kabla ya kukabidhi kijiti kwa successor wake Oct 2025.

Will we make use of his time. Hapa ndipo mambo mazuri pia hutakiwa kufanyika kwa haraka. Time is unredeemable.
Ni rai pia kwa Director Diwani Athuman Msuya kama itampendeza; kuja na Strategic Economic Intelligence model yenye competitive intelligence tools & cultural intelligence tools ili kuongeza exports, kupata forex za kutosha ambapo ita-impact uchumi exponentially.
 
Back
Top Bottom