Recent content by Katono Mruma

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

    Hawa Waarabu wamemkosea nini Mola wao, mbona wanapigwa namna hii? Yaani wanachapwa kama watoto na ni wengi kweli lakini hamna wanachoweza kufanya! Dah, walipo kosea pakubwa sana wajitafakari!
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ili jamii iweze kuendelea kiuchumi, wizi ni lazima. Efficient Market Mypothesis (EMH) haipo na wala hai-exist

    Evidence is contrary to what you are proposing. Nchi zenye wizi kidogo sana kama Finland na Sweden na Norway, nimetoka huko majuzi, zimeendelea saana kuliko Nchi zenye wizi mwingi kama Bongo, Congo, Kenya. Kule nilikuwa nahisi barabara wamejenga mpaka wakapitiliza, yaani Barabara mbele...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

    Hapa umevuka mipaka! Mambo ya wa Israel na wa Palestina wachie Wakubwa wa Dunia. Sisi ni kama sisimizi tuu kwenye hii vita. Hopeless!
  4. K

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe anatumia mbinu gani za kiuongozi?

    Mtu mweusi!
  5. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

    Sio woga. Ni kwamba si kazi yako. Mamlaka zinatengua, ni jambo lisilo la kushangilia, unapongeza aliyetenguliwa.......unampongeza kwa sababu gani? Kwa achievement ipi?
  6. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

    Kwenye kazi za Umma, hakuna neno kupendwa au kutopendwa. Ni Sheria na taratibu.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Wafuasi wao wa Twitter tu walitosha kumchangia Lissu mabilioni ya pesa

    Shida ya huyu Jamaa ni kuwa, kwa yeye, kula sio kipa umbele, sio kitu. Angekuwa anapenda kula angekuwa Professor Marakani, lakini akarudi! Huyu kula hajui, ndio shida yake!
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wafuasi wao wa Twitter tu walitosha kumchangia Lissu mabilioni ya pesa

    Nadhani hii inaonyesha kwamba wengi wa wanaomchangia ni maskini.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kama ulikuwa unanuna au unachukia kwanini mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ina Maendeleo sana Tanzania, yafuatayo ndiyo majibu yako...

    Wewe inaelekea hujatembea Nchi hii: Nenda Lindi, Mtwara, Kitinku Singida, alafu uje hapa utoe taarifa tena!
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kama ulikuwa unanuna au unachukia kwanini mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ina Maendeleo sana Tanzania, yafuatayo ndiyo majibu yako...

    Marekebisho kidogo Kuhusu sababu ya 6: Kutangulia kupata Elimu kutoka TaIfa jirani la Kenya.......sio sahihi kusema "kutoka TaIfa jirani la Kenya" Shule ya kwanza kijijini kwetu, pamoja na Kanisa vilijengwa Mwaka 1910. Elimu haikutoka Kenya; ilikuja na wazungu ambao waliwahi kufika sehemu hizo...
  11. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwanini Serikali ya Rais Samia imeruhusu maandamano ya CHADEMA?

    Umefanya uchambuzi mzuri, lakini umesahau Moja. Rais Samia ni muumuni wa Katiba. Anajua Maandamano yapo kikatiba. Ndio maana haoni tabu wakiandanana Unasema kwamba CCM hawaitaki Agenda ya Katiba. Lakini CCM ndio ilianzisha mchakato wa Katiba, na ikauendesha mpaka rasimu ikapatikana. Kilicho...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya kila mara ni upuuzi ulio upuuzi

    Nakubaliana na wewe. Kwakweli yanaonyesha openness kwenye Nchi yetu na jinsi tuna vyojenga utamaduni wa uwqzi na kufanya Siasa za kistaarabu. Mwisho wa yote itakuwa ni faida kwa Nchi, maana Nchi itakuwa na kiwango kikubwa Cha Denokrasia, ambacbo kitaharakisha maendeleo
  13. K

    JamiiForums Tanzania Tusipoangalia kanda ya ziwa itatuletea tyranny of the majority

    Mwalimu Nyerere alimaliza ukabila na Ukanda Nchi hii. Sasa hivi umetokea wapi tena? Imekuwaje mpaka watu wanaongea kilugha majukwaani? Wakati wa Nyerere ukiongea kilugha jukwaani unaonekana hufai, mkabila na mshamba! Kwa Upande wa majimbo, lazima yatakuja huko mbeleni! Haiwezekani Waziri wa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Halua is overrated

    Nadhani la muhimu hapa ni je, Kuna nutrients Gani kwenye halua? Aina Gani ya Sukari imo? Je, ni Ile MBAYA kwa afya?
  15. K

    JamiiForums Tanzania Makubaliano ya uwekezaji wa bandari ni "kick" ya CHADEMA iliyobuma

    Na kwa jinsi alivyopandishwa Chati, lazima ataingia kwenye Siasa, ingawa anasema hayuko huko ila tushamjua! Na alivyo kwenye Chati Sasa hivi atagombea kupitia CCM chama kubwa lenye uhakika!
Back
Top Bottom