Zaidi Ya wapumbavu cjui ni kwanini tunajikataa wenyewe? Tunadharau chetu, tunajikataa wenyewe, tunajidhalilisha wenyewe. Nilihisi Kwa wamarekani walichokifanya ingekuwa funzo kwetu na cc tukajithamini. Wamarekani wamemchagua Trump Kwa sababu ya maslahi ya taifa lao tu awakuangalia chochote zaidi...
Cc watanzania tuna kawaida ya kutoshangilia na ata kucheza ni shida sana. Kawaida yetu ni kuangalia tu, kushangilia tulishajijengea kuwaachia watu wa aina flani na kucheza. Hapo wangekuwa wakenya wangecheza sana na kushangilia sana tena wote bila kuona watu flani ndo wacheze. Naweza kubaliana...
Kwani ujaona ata mwenyewe kagundua kama ajawafanyia kitu watazamaji ndo maana kajitahidi kuvua na nguo hili angalau aonekane kafanya kitu lakini hakuna alichofanya zaidi ya kuruka ruka tu.
Hivi huyo tecno kalipwa kumtaja Diamond au kuburudisha watu. Sioni anachofanya hapo ashuke tu kashalipwa na Baba Tiffa akalale sasa. 20 za watu zimepotea maskini.
Wazir wa viwanda nenda kiwanda cha Chai kagera (Kageratea) watu wanahali mbaya kiwanda kina hali mbaya wafanyakazi wana mwaka wengine miaka 3 hawajalipwa mishahara muwekezaji anawanyanyasa kwakuwa wafanyakazi wa kageratea ni masikini wanavumilia Kwa kutegemea hipo siku serikali hii itafanya...
Binadam ni mzigo mzito Sana. Watanzania tunachekwa sna Kwa kumkejeli Rais wetu Kwa mambo ya hovyo kiasi hiki. Cjui unajickiaje kumdhalilisha mtu. Tulikuwa tunamsema JK sasa Yale tuliokuwa tunataka Jpm anayafanyia kazi, sasa tunaanza kumdhalilisha kuwa hajui kingereza jamani kutojua hicho...
Kila mmoja ana sababu yake ya kumpenda au kumchukia. Na wengi wanaomchukia ni Wale wenye maisha mazuri lakini kwa waangaikaji tunamkubali sana, uwezi elewa adha niliyokuwa napata hospital ya serikali kwa sababu wewe unaenda hospital ya kulipia, lazima nitampenda. Lakini wanaomchukia wengi ni...
Kwa mtumishi wa umma aliyekuwa Amezoea kucheza na pesa kila cku kuishi bila kutegemea mshahara wake,mwaka unapita ajagusa mshahara wake lazima ataangaika kumwaga sumu tu, lakini kama ulizoea kuhishi Kwa kutoka jasho maisha yanaendelea tu hiyo sumu inayomwagwa aina maana kwetu. Kila mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.