Recent content by katofu

  1. K

    Wanafunzi wa Chuo cha kodi Mikocheni jijini Dar wapiga kambi katika ofisi za ITV, na kupaza sauti

    Mi naona serikali ingeshusha ada za vyuo afu wanafunzi wajilipie tu,mkopo ni pasua!
  2. K

    Usafirishaji

    Naomba anayejua gharama za kusafirisha container yenye mzigo 1x20ft kutoka Dar mpaka mbeya na kutoka Dar mpaka Mwanza, mwenye kujua bei inayotumika kwa sasa anisaidie.
  3. K

    OLAS iko wazi!!

    kwani hawakutoa muda wa nyongeza kwa waombaji?.
  4. K

    Je kweli hawezi kwenda advance kwa matokeo haya?

    hiyo advance anasoma comb.gani?
  5. K

    Ushauri: Course ipi nzuri ya kusomea kwa mchepuo wa CBG?

    Inaonekana kingereza ni shida hizo division chuo gani wametoa hiyo guideline?? kwenda chuo wanaangalia principles and not division.
  6. K

    TAMISEMI kwanini mumlazimishe mtu kusoma mchepuo asioupenda?

    Nani kakupeleka si umejaza selform mwenyewe mbona hujapelekwa HKL???
  7. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    Ahsante sana wakuu kwa ushauri wa maana.
  8. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    Ahsante sana wakuu kwa ushauri wa maana.
  9. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    Ahsante sana wakuu kwa ushauri wa maana.
  10. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    Ahsante sana wakuu kwa ushauri wa maana.
  11. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    mbona kwenye Cluster 1 wamesema watakao dahiliwa Education(Science) Priority hawataangalia graduation period?,mwenye uelewa zaidi aje afafanue tafadhali.
  12. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    je kama umemaliza form six 2003 na udahiliwa Education (Science) na umri ni miaka 35 napata mkopo?
Back
Top Bottom