Kama ni starehe tumekula mno na stil tunaenjoy siyo kulala hotelin tu huwa anaspend the whole nit in my apartment hata jana kalala kwangu and he is a decent man msimuite monster and am not a young gal am matured enough
Watu8 nimekupata asante, mie sijamfanyia lolote huyu mume wa mtu na wala siamini katika hizo mambo na sitoki kwenye kabila ambalo wanawake huua wanaume mali zake hazinihusu na wala sizihitaji tulipoanza hatukudhani tutafika tulipofika kama ni mali hata mie natafuta zangu kwani nami naern...
Dada white nilishagraduate ila sikusoma hiyo university uliyoitaja acha kupaka matope vyuo vya watu stick kwenye mada ni vyuo kibao vinatoa degree za 4 years
Jamani matusi yenu hayasaidii jamaa amenambia anataka amweleze mkewe, mie nimekubali matokeo nitazaa na kumlea mwanangu kwani wangapi wanazaa nje ya ndoa zao? Its neither the first nor the last
Smile povu la nini? Ushawahi penda wewe? For your info watu wengi wanacheza peku sikuwa na lengo la kuzaa naye imetokea tu na wala sitarajii kuolewa naye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.