Recent content by KatetiMQ

  1. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wenu

    Kama lipi
  2. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wenu

    Ndio nahitaji kwa nn umeuliza hivyo
  3. KatetiMQ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke mrembo

    WhatsApp iko pw zaidi
  4. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Kazi za viwandani sio kazi, ni zaidi ya mateso

    Kazi kani nicheki PM tuongee
  5. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wenu

    Nipe namba yako
  6. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Kazi za viwandani sio kazi, ni zaidi ya mateso

    Natoa laki mbili kwa atakaenitafutia kazi sheli au yeyote nzuri
  7. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wenu

    Unaelewa ninachokimaanisha au umekuja kubishana
  8. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wenu

    Zipo kazi za kuumizana na sio ajira za kawaida umewahi kwenda pale darling mbagala umewahi kwenda kujionea kazi wanazofanya watanzania pale cello temeke mwisho na sehemu nyingine nyingi ambazo wanachukulia mtu mwenye shida ya kazi kama sio binadamu wa kawaida Kama ipi
  9. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wenu

    Wakuu nimekwama kweli kweli mtaani kugumu hali mbaya kwa mwenye connection ya kazi iwe sheli au yeyote nzuri naombeni elimu yangu form 4 nitakupa laki na nusu kama ahsante 🙏🙏🙏
  10. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Nielekeze vizuri na mimi kama naweza kufanya Ila mimi sio mwekezaji naomba kujifunza tu
  11. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Bajaji ya Mkataba au ya Kipande nipo Dar

    Kwa nn kk
  12. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Vipi wadau hata VPN imezuiwa kuunganisha Tanzania?

    Tumieni thurnder
  13. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Biashara ya wifi internet router mtaani

    Kaka samahani naomba namba yako ya whatsapp unielekeze vzr
  14. KatetiMQ

    JamiiForums Tanzania Siku tukimtumia Polepole vizuri, Nchi yetu itapiga hatua vizuri sana

    Ni binadamu tu amechoka kukumbatia uovu
Back
Top Bottom