Recent content by KATEBE MASHAURI

  1. KATEBE MASHAURI

    JamiiForums Tanzania Tamaduni na mila za kufikirika (ajabu) Tanzania na duniani

    Utamaduni wa ulimwengu hauwezi kufanana! Hata iweje!
  2. KATEBE MASHAURI

    JamiiForums Tanzania CCM, nani mwenye sababu za kwa nini Watanzania ni masikini wakati nchi imezungukwa na Utajiri kila kona?

    Matatizo ya Tanzania na Afrika kwa ujumla; ya Juzi,Jana,Leo na kesho ni yaleyale tu; Kwa maana kiiini ni kilekile; Ukosefu wa maono na maarifa. Ukosefu wa utashi na maamuzi. Ukosefu wa nguvu ya sauti Moja(umoja). UBINAFSI 👈👈👈 Kwa iyo tatizo si la CCM au CHADEMA! Tatizo ni sisi wenyewe watanzania...
  3. KATEBE MASHAURI

    JamiiForums Tanzania Uenezaji wa ushoga waweza kuwa mbinu mojawapo ya maangamizi ya kimbari

    Ni waafrika wachache wenye maono kama Yako mungu akubaliki Sana. Long live Tanzania! Long live Africa!
  4. KATEBE MASHAURI

    JamiiForums Tanzania Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

    Jamani tuongee yote lakini tutambue kuwa hii ni vita Kali Sana Tena vita ya uchumi, kuhusu malema ni kwamba ,, "he who feeds you controls you". Thomas Isdore Sankara ✍️✍️
  5. KATEBE MASHAURI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti wanaume wengi wataozea jela Kama Hili zoezi likifanyika

    Tukirudi nyumbani hayo matatizo ya nguvu za kiume hayatokuwepo! Tule vyakula vya asili,kupate muda wa kutosha wa kupumzika,Tuepuke vyakula/vitu vevye viambata vya sumu na kemikali mbaya,tupige mazoezi n.k Turudi nyumbani Afrika!!✍️✍️✍️
  6. KATEBE MASHAURI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti wanaume wengi wataozea jela Kama Hili zoezi likifanyika

  7. KATEBE MASHAURI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Poa
Back
Top Bottom