Kati yako na dr. Slaa nani aliumia yeye aliyeondolewa ugombea wakamweka Lowassa Jambazi kuu, na yeye aliyeamua kuishi imani yake kumkataa Lowassa..! Still bado Lowassa aliisaliti CHADEMA akagoma kuandamana kupinga dhuluma ya kuibiw kura na kurudi CCM kwa maringo eti ni nyumbani..!
Heheheh..! Kiranga ungejua kuwa sayansi haijawahi kujibu swali WHY mara zote ina jibu maswali ya HOW ungeacha ubishi.
Kifupi sayansi haiundi kitu kipya ndiyo maana haiwezi jibu swali la kwanini mara zote inajibu KWA VIPI/KWA NAMNA GANI.
Labda uniambie kwanza watafute muarobaini wa wizi ili zikikatwa zitumike kweli..! Gharama unayotumia kwa foleni na kununua vipuri na kuchelewa kazini ni zaidi ya mara 500 ya hiyo sh.100
YES, MUNGU HUWA ANANJIA YAKE YA KUWAOKOA WATU WAKE, ILA SABABU YA UPUMBAVU WAO WANAWEZA ANGAMIA. CHADEMA HAIKUTAMBUA MAGUFULI ALIKUWA SABABU YA WAO KUIMARIKA NA KUJUA KUJITEGEMEA SASA HIVI WATAKUFA.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Unadhani haya nayo yasema na kuandika nimepata shuleni..? Najua kwa kuwa tofauti na wewe, na hakika si kwa uwezo wala utashi wangu maana najibu si kwa ufahamu wangu pekee .
Sijasema kuhusu kukufikisha kwenye uongo, Mungu anayeongelewa ni True God (Mungu mmoja). Imani usichanye zipo imani nyingi. Imani ya Mungu mmoja inajipambanua vyema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.