Jumuiya ya wanafunzi wa vyuo vikuu na vya kati hapa Tanzania (TAHLSO) ilianzishwa ili iweze kutetea maslahi ya wanafunzi wa vyuo.
Bahati mbaya kwa sasa TAHLSO siyo chombo tena cha kushughulika na masuala ya wanafunzi bali ni chombo cha kueneza propaganda za watawala.
Hivi karibuni kumekuwepo...
Hapa mkuu umetupiga kamba ya wazi wazi! Bora ingekuwa mtandao mwingine ila airtel app yao mpaka hiyo SIM card ndio iwe kwenye simu ndipo unaweza ku-access accout ya Airtel money na account ya Airtel. Mitandao mingine first time registration ndipo inakuhitaji weke SIM card kwa hiyo simu...
Kijana mmoja jina () alihitimu elimu ya chuo kikuu katika chuo kikuu kimoja mkoani Morogoro.
Baada ya kuhitimu alikuwa na viji-savings vyake akavitumia kununua kiwanja na shamba hapo hapo mkoani Morogoro.
Badae akakodi meza katika soko la Manzese (lililokuwa soko kuu la muda kupisha ujenzi wa...
Atakayekuja kusema kuwa Kagame ni dictator kwanza aende Rwanda akaongee na baadhi ya wananchi katika makabila yote matatu ya Rwanda kuhusu Kagame! Akirudi ndo aseme ya kwamba kagame ni dictator
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.