Recent content by kasulamkombe

  1. kasulamkombe

    Wake zangu wamezidi wivu, kila mmoja anataka kuthaminiwa zaidi ya mwenzie

    inaelekea shughuri yako ni nzito.una mtambo wa kurekebisha tabia na hawataki huo mtambo urekebishe wote.wewe ongeza mwingine mambo yatakuwa poa kwani wawili wataungana
  2. kasulamkombe

    Mwanamke gani ungependa umuoe?

    mwenye tabia kama ya MUNA LOVE ndiye anafaa kuolewa
  3. kasulamkombe

    Urais 2020: Makala hii ni nzuri ila imeharibiwa na jina la Makamba kwani CCM ni ile ile na sijui kwanini hatujifunzi

    Hivi ZITO na MAKAMBA wanakubalika na kuuzika soko lipi?achana na bangi zenu za mchana.Eti ZITO ni mzalendo duh hiyo kali pale NSSF Kaacha madudu
  4. kasulamkombe

    Mwigulu, kwanini wanakukejeli badala ya kukukumbuka weledi wako?

    eti unamkabidhi mchawi akulelee mtoto hata mimi nilishangaa mbona hamtoi.Hongera MAGU
  5. kasulamkombe

    Ya Mwigulu Nchemba si ndwele. Huu ndo ushauri wangu kwa Mh. January Makamba (Mb)…

    hapo ndio Magu huwa ananipa raha anapiga kwenzi wote na wanafiki wote nje bado makamba.Nchi itakuwa safi tu na Rais ajaye hajawahi hata kuwa mbunge.watu wote wa siasa nje
  6. kasulamkombe

    Natamani kujiua baada ya kugundua alinibambikia mtoto

    muangalie vizuri hata mama yako inawezekana baba yako sio unayemjua wedwe.hawa kina mama ni hatari sana wewe kubaliana na hali tu
  7. kasulamkombe

    Evarist Chahali: Kinana amenidhulumu shilingi milioni 12.5

    MWELE MALCHELA+LE MUTUZ+LUSINDE=Akili za Kigogo
  8. kasulamkombe

    Hakuna sehemu inayonuka kama Magogoni njia ya kuelekea ferry kwenye kivuko

    mavi toka maghorafani huwa hayanuki bali yananukia.Makao makuu ya kikwapa yapo kule!
  9. kasulamkombe

    Yanga yakwepa fedheha kwa Simba, yajitoa CECAFA Kagame Cup

    Hapo ndio naamini viongozi wengi wa Yanga kichwani hakuna kitu!!! Utamuogopaje mpinzani wako hata kabla ya kuingia ulingoni huo ni udhaifu wa hali ya juu sana.YANGA wangeweza kutumia mechi hiyo kujiingizia kipato kwani kwasasa wamefulia na mashabiki wao hata kwenda uwanjani wanaona aibu, pili...
Back
Top Bottom