inaelekea shughuri yako ni nzito.una mtambo wa kurekebisha tabia na hawataki huo mtambo urekebishe wote.wewe ongeza mwingine mambo yatakuwa poa kwani wawili wataungana
hapo ndio Magu huwa ananipa raha anapiga kwenzi wote na wanafiki wote nje bado makamba.Nchi itakuwa safi tu na Rais ajaye hajawahi hata kuwa mbunge.watu wote wa siasa nje
Hapo ndio naamini viongozi wengi wa Yanga kichwani hakuna kitu!!! Utamuogopaje mpinzani wako hata kabla ya kuingia ulingoni huo ni udhaifu wa hali ya juu sana.YANGA wangeweza kutumia mechi hiyo kujiingizia kipato kwani kwasasa wamefulia na mashabiki wao hata kwenda uwanjani wanaona aibu, pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.