Recent content by Kassim Rashid

  1. Kassim Rashid

    Tanzania Law Reports

    WAHESHIMIWA, NAOMBENI Tanzania Law Reports za mwaka 1983,84,85, na 86[emoji4] [emoji4]
  2. Kassim Rashid

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Pia nisaidieni kitabu cha Jaji B D Chipeta cha Digest of Cases
  3. Kassim Rashid

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Waheshimiwa ninashida na Tanzania Law Reports za mwaka 1983,1984,1985 na 1986. Tafadhali waheshimiwa nisaidieni.
  4. Kassim Rashid

    Wasomi wazidi kuikosoa Serikali

    Nimekupata DANNY JULLY lakini hoja zangu hazijasema kuwa rais yupo juu ya sheria ila amepewa madaraka makubwa kiasi ambacho anauwezo wa kufanya maamuzi yoyote kwa mwamvuli wa katiba kuhusu jambo lolote na mtu wa kawaida(ordinary person)anaweza kusema kuwa anafanya maamuzi ya kidikteta...
  5. Kassim Rashid

    Wasomi wazidi kuikosoa Serikali

    Naomba uelewe bosi Rais haitumii katiba kuwa dicteta ila imempa madaraka makubwa kiasi ambacho maamuzi anayoyafanya unaweza kusema ni dicteta.Wewe unatakiwa ulie na kupigania mabadiliko ya katiba na si kusema Rais dicteta haitasaidia kitu[emoji56]
  6. Kassim Rashid

    Wasomi wazidi kuikosoa Serikali

    Mimi kama msomi wa Sheria ninakushauri wewe pia na wa TZ wote kwa ujumla sambamba na kudai kuwa Rais wetu ni dicteta hauna budi kabla hujajidhatiti na kauli hiyo uisome vizuri katiba hususani isome na uielewe ibara ya 36 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977,hakika katiba hii...
  7. Kassim Rashid

    Msaada wa kisheria, nataka kuishtaki serikali kwa matumizi mabaya ya kodi

    Kabla haujaishtaki hakikisha unavigezo hivi: 1)Locus Stand(interest):kwa maana unamaslahi yoyote katika kiini cha kesi aidha maslahi binafsi au unamaslahi kwa niaba ya Watanzania. 2) Unapotaka kuishtaki Serikali hususan serikali kuu lazima ufuate taratibu za Government Proceedings Act No 05[re...
  8. Kassim Rashid

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Vilevile na historical development of Contract law in Tz
  9. Kassim Rashid

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Mkuu unaweza kunisaidia kujua Historical development of Criminal law in Tanzania and Common Law
  10. Kassim Rashid

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Mkuu ninashida na notis au kitab chochot cha Legal Writting&Drafting in Tanzania
  11. Kassim Rashid

    Taratibu za mtu kufukuzwa kazi

    Shukrani pia kwa kutoa changamoto
  12. Kassim Rashid

    Taratibu za mtu kufukuzwa kazi

    Suala hilo limeegemea katika Sheria ya Ajira na Uhusiano kazini(Employment and Labour Relations Act No.06 of 2004) na pia sheria ya Labour Institutions Act No.07 of 2004 vilevile na sheria ya Employment and Labour Relations( Code of Good practice )Rules GN. No.42 of 2007.Hivyo kwa kuzingatia...
  13. Kassim Rashid

    Man and Woman living together for more than six months

    Si kweli,na kwanin uamini maneno ya kusikia,daima kisheria maneno ya kusikia kwa mtu mwingine hayazingatiwi(heresay is not admissible under the law).Rejea sheria ya Ndoa Sura Ya 29 iliofanyiwa marekebisho 2010,kifungu cha 160(1) inasema mwanamke na mwanaume walioshi miaka 2 na jamii iwe...
Back
Top Bottom