Recent content by Kassim Mbuya

  1. Kassim Mbuya

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina tecno pop2 Ina crack protect tuuu mpya nichek 0620681129
  2. Kassim Mbuya

    Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

    Naitwa Kassim Mbuya natafuta kazi nimesoma IT certificate naweza computer kila idara Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Kassim Mbuya

    Kama unataka kufanikiwa ondoka nyumbani kwenu

    Sio kwamba ukienda kukaa mbali na kwenu ndio utafanikiwa laaa ila utapata akili tuuu yakutafuta ela na ila kufanikiwa akili ya mtu anavyojiweka katika mipango yake ya maisha Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Kassim Mbuya

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Jamani naomba kujua jinsi ya kuanzisha kampuni na gharama zake zikoje? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Kassim Mbuya

    Natengeneza Logo za Makampuni na binafsi

    divanology, Nimetoa huo ni mfano wa Logo ndio niliotoa hapo ila ukitaka kutengenezewa ndio nakaa chini nakuuliza wenyewe unataka logo yako iwe vipi na ni kwa matumini gani Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Kassim Mbuya

    Natengeneza Logo za Makampuni na binafsi

    Natumia Adobe illustrator and ps Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Kassim Mbuya

    Natengeneza Logo za Makampuni na binafsi

    Logo moja ni 70000 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Kassim Mbuya

    Huduma ya Usaji wa Makampuni Kidigitalu (BUSINESS NAME and REGISTRATION Facility)

    Mkishasajili Makampuni nipo ninae tengeneza na kuedit Logo za aina mbalimbali nicheki 0714121648 0620681129 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Kassim Mbuya

    Natengeneza Logo za Makampuni na binafsi

    Naitwa kassim naishi dar ni mbunifu wa kutengeneza logo za Makampuni na sector binafsi Kama unaitaji waweza nicheki 0714121648 0620681129 Mfano wa logo Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Kassim Mbuya

    Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

    Unajua biashara anayoifanya mpk unamwambia akomae ? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Kassim Mbuya

    Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

    Mkuu mbona sielewi ni biashara gani uliofanya mpk kupata mtaji wa kiasi hicho taja biashara unayoifanya tujue Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Kassim Mbuya

    Hawa mapacha wamefanana sana, hivi Waziri wetu ni yupi hapo?

    Kwani hawa ni Nani ? Maana naona watu tuu hapa ??? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Kassim Mbuya

    10 years of Diamond Platnumz

    Kigoma hiyo au ? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Kassim Mbuya

    Usiruhusu kuendeshwa na mpenzi wako 2020

    Mapenzi yalipita Zamani Sasa Kuna uongo tuuuu Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Kassim Mbuya

    Unataka kuwa mtu mwenye uelewa (knowledge) mkubwa? Zingatia tabia hizi 10

    Hayo unayosema ni kweli Mfano hapo sijaelewa kuhusu kusoma usome nini dini au Elimu ya dunia? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom