Recent content by Kasote

  1. K

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu anatufikirisha - Hivi wangekuwa Watano (5, ingekuwaje? Tungekuwa wapi?

    Kwanza kumpata mtu kama Tundu Lissu kwenye taifa ni hazina. Mtanzania gani angetandikwa risasi zile za kutosha YET akaendelea na harakati zake. Yupo wapi Ulimboka, hadi wa leo alituahidi atarudi kimyaaaaaa!! Lazima mmoja ainuliwe kwa faida ya wengine - Tumshukuru MUNGU kwa hili - leo hii Lissu...
  2. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wamjibu Waziri Kangi Lugola kuhusu shambulio la Tundu Lissu

    good move, CDM mkombozi wa wanyonge!!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ukimya wa wazee wetu unamaanisha nini?

    Tangu sakata la Lissu kupigwa Risasi akiwa anahudhuria vikao vya Bunge, Matibabu yake nchini Kenya na Ubelgiji wazee wetu wamekuwa kimyaa as if hawapo kabisa nchini. Juzi Lissu kaanza ziara nchi za Ulaya na Marekani kuelezea kwa undani yaliyomtokea kwenye shambulio lake la kutaka kutoa uhai...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Zitto: Kitendo cha Kiongozi wa Upinzani kukaa ndani kwa zaidi ya miezi 2 halafu tulio kuwa nje hatuonyeshi reaction yoyote kwenda kwa watawala si sawa

    Zitto lianzishe braza!! madogo tupo gado - maisha yenyewe ugali nguna bora utangulizwe mbele ya haki mapemaaa ukapumzike - twende kaaaaazi....toa siku na tarehe tuingie rodi.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kuzuiliwa Ujerumani

    Njaa za Ibrahim Makunja kama huzijui basi njoo kwenye uzi huu - eti umoja wa watanzania - maweeee!!
  6. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wamjibu Waziri Kangi Lugola kuhusu shambulio la Tundu Lissu

    Hii kesi imeshaisha ama ipo pending......
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Ester Matiko imeaihirishwa hadi Feb 28, 2019

    kuna mtu akiona hivi basi meno yake yote 32 ni nje.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya chama cha Republican

    Waziri mambo ya nje atakuwa anatamani hata kuachia ngazi, kazi kwake imekuwa ni ngumu kweli kweli - kwenda kote huko kusafisha alama za miguu ni kazi ngumu, Kusafisha hoja za ukweli huwa ni kazi ngumu ajabu.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mgombea wa CHADEMA Korogwe aelezea kilichojiri ofisini hadi CCM wakashinda

    Hii nchi ina matatizo mengi mno; hata hili tunahitaji mwekezaji? Aibu kubwa kwa tume
  10. K

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Wakuu; kwa wanao hitaji vifaranga chotara vya Sasso tafadhali tuwasiliane kwa 0682 231053; Pia ushauli kuhusu; Chakula Mabanda Kudhibiti magonjwa Matibabu Uzoefu wa ufugaji miaka 15; tembelea shamba darasa letu Kigamboni.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Kaka nipo Dar; lakini umbali si tatizo; ufugaji wa tija unaweza kufanyika tu - 0682 231053 tuwasiliane kwa ushauru zaidi
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    One day Chic sisi tutawapa malex, wewe utawapa siku ya 7, 14, 21 na 28 - Tutakuelekeza. Kuhusu bei we tutafute tutaona namna ya kusaidiana hasa kama unachukua wengi.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Msaada ukubwa banda la kuku wa mayai 500

    Kuku 3 hadi 4 wanaweza kukaa eneo la SQM 1, yaani hatua moja urefu na hatua moja upana. Sasa banda la kuku 500 unaweza kufanya hatua 15 urefu na upana 8 linatosha kabisa kuku wako hao. Je unafuga kuku wa aina gani? tunaweza kukupa ushauri bure!!! Kama ni la matofali basi weka kozi 3 tu, then...
Back
Top Bottom