Ukitaka kuwavuruga chadema waambie wamtoe dereva wa Lissu
Wasanii hawa,huyo mkuu wa kikosi cha utesaji viongozi kigaila,angefanya la maana sana kama angetangaza kumtoa dereva ili ahojiwe
Sina hakika kama ulicho changia hapa kina uhusiano wowote na UZI hu, unaweza kua na point but not on this thread; Kangi kaongea kama waziri wa mambo ya ndani and hence Chadema kukaa kimya kuhusu jambo ambalo waziri wa mambo ya ndani kalizungumza, wale wanao fikiria vizuri lazima tunge question ukimya wao, walau sasa tumejua pande zote mbili, story ime balance.Mimi nadhani sio sahihi kwa kila jambo Chadema kukurupuka na kuijibu CCM......Lugola ni CCM....na hawezi isaliti kambi yake na serikali anayoiongoza!
Lengo la Chadema kama chama pinzani wawe na sera madhubuti za kuweza kuishawisha jumuiya ya watanzania na hatimae kuwapa ridhaa ya kushika dola.
Kujipanga kimikakati ni muhimu zaidi kuliko kelele zisizo na mashiko.
Nichelee tu kusema..endapo CDM hawatobadilika basi itakuwa ni ndoto kwa wao kuweza kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
NB: Siasa ni mikakati na sio kubwabwaja pasipo kuwa na malengo mahususi.
Mbwa akikuzoea sana iko siku atakufuata msikitiniMimi nadhani sio sahihi kwa kila jambo Chadema kukurupuka na kuijibu CCM......Lugola ni CCM....na hawezi isaliti kambi yake na serikali anayoiongoza!
Lengo la Chadema kama chama pinzani wawe na sera madhubuti za kuweza kuishawisha jumuiya ya watanzania na hatimae kuwapa ridhaa ya kushika dola.
Kujipanga kimikakati ni muhimu zaidi kuliko kelele zisizo na mashiko.
Nichelee tu kusema..endapo CDM hawatobadilika basi itakuwa ni ndoto kwa wao kuweza kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
NB: Siasa ni mikakati na sio kubwabwaja pasipo kuwa na malengo mahususi.
Mimi nadhani sio sahihi kwa kila jambo Chadema kukurupuka na kuijibu CCM......Lugola ni CCM....na hawezi isaliti kambi yake na serikali anayoiongoza!
Lengo la Chadema kama chama pinzani wawe na sera madhubuti za kuweza kuishawisha jumuiya ya watanzania na hatimae kuwapa ridhaa ya kushika dola.
Kujipanga kimikakati ni muhimu zaidi kuliko kelele zisizo na mashiko.
Nichelee tu kusema..endapo CDM hawatobadilika basi itakuwa ni ndoto kwa wao kuweza kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
NB: Siasa ni mikakati na sio kubwabwaja pasipo kuwa na malengo mahususi.
Mimi nadhani sio sahihi kwa kila jambo Chadema kukurupuka na kuijibu CCM......Lugola ni CCM....na hawezi isaliti kambi yake na serikali anayoiongoza!
Lengo la Chadema kama chama pinzani wawe na sera madhubuti za kuweza kuishawisha jumuiya ya watanzania na hatimae kuwapa ridhaa ya kushika dola.
Kujipanga kimikakati ni muhimu zaidi kuliko kelele zisizo na mashiko.
Nichelee tu kusema..endapo CDM hawatobadilika basi itakuwa ni ndoto kwa wao kuweza kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
NB: Siasa ni mikakati na sio kubwabwaja pasipo kuwa na malengo mahususi.
Hapana lazima wajibu, maana kikanuni uongo ukiachwa bila kukanushwa unakuwa ukweli!!Mimi nadhani sio sahihi kwa kila jambo Chadema kukurupuka na kuijibu CCM......Lugola ni CCM....na hawezi isaliti kambi yake na serikali anayoiongoza!
Lengo la Chadema kama chama pinzani wawe na sera madhubuti za kuweza kuishawisha jumuiya ya watanzania na hatimae kuwapa ridhaa ya kushika dola.
Kujipanga kimikakati ni muhimu zaidi kuliko kelele zisizo na mashiko.
Nichelee tu kusema..endapo CDM hawatobadilika basi itakuwa ni ndoto kwa wao kuweza kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
NB: Siasa ni mikakati na sio kubwabwaja pasipo kuwa na malengo mahususi.
Hapana ndugu yangu, mimi sio Chadema . Mimi ni CCM damu, Lakini sipendezewi hata kidogo na mambo anayoyafanya Mzee baba kwa kukandamiza demokrasia, kufanya mambo kwa udikteta, na manyanyaso mengi tu ambayo anayafanya kwa watanzania.Na wewe uko ndani ya CDM? maana mambo haya yanafanywa kwa utaratibu Fulani wa ndani ambao huwezi ukosoa kama hujui vizuri ndani kuna nini, je wewe ni sehemu ya kamati kuu cdm?
Nawashauri CDM Popote penye upotoshwaji wajibu,hasa kipindi hiki muhimu sana.WASIKAE KIMYAMimi nadhani sio sahihi kwa kila jambo Chadema kukurupuka na kuijibu CCM......Lugola ni CCM....na hawezi isaliti kambi yake na serikali anayoiongoza!
Lengo la Chadema kama chama pinzani wawe na sera madhubuti za kuweza kuishawisha jumuiya ya watanzania na hatimae kuwapa ridhaa ya kushika dola.
Kujipanga kimikakati ni muhimu zaidi kuliko kelele zisizo na mashiko.
Nichelee tu kusema..endapo CDM hawatobadilika basi itakuwa ni ndoto kwa wao kuweza kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
NB: Siasa ni mikakati na sio kubwabwaja pasipo kuwa na malengo mahususi.
Na wewe uko ndani ya CDM? maana mambo haya yanafanywa kwa utaratibu Fulani wa ndani ambao huwezi ukosoa kama hujui vizuri ndani kuna nini, je wewe ni sehemu ya kamati kuu cdm?
Mimi nadhani sio sahihi kwa kila jambo Chadema kukurupuka na kuijibu CCM......Lugola ni CCM....na hawezi isaliti kambi yake na serikali anayoiongoza!
Lengo la Chadema kama chama pinzani wawe na sera madhubuti za kuweza kuishawisha jumuiya ya watanzania na hatimae kuwapa ridhaa ya kushika dola.
Kujipanga kimikakati ni muhimu zaidi kuliko kelele zisizo na mashiko.
Nichelee tu kusema..endapo CDM hawatobadilika basi itakuwa ni ndoto kwa wao kuweza kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
NB: Siasa ni mikakati na sio kubwabwaja pasipo kuwa na malengo mahususi.
Mtu akipotosha lazima uweke sawa! Ukiachia uongo urudiwe mara nyingi unageuka kuwa ukweli!sasa kama amewajibu si wakae kimyaa....waridhike na hilo jibu sio kila kitu unabisha.
unajua karibu watanzania wote wenye akili wanajua ni nani mhusika mkuu wa issue ya Lisu.....hata wewe na mimi, na hata Lugola mwenyewe anajua ukweli. Lakini cha msingi cha kufahamu ni kuwa hata siku moja serikali haitokuja kukiri kuwa ile kitu ilikuwa ni maagizo ya mzee baba.
Hivyo kuepusha mijadala isiyo na tija, ni vema tu tukamuachia Mungu awajibu wanafiki....kama alivyoamua ku-mbeeep jana...ndugu yetu lameck madelu wa kwa Nchemba.
ni hayo tu ndugu yangu, but tupo pamoja .
Wapo, ila kwa bahati mbaya wote wako mtaa mmoja, Lumumba.Hivi Kuna watanzania bado wana akili Kama za huyu jamaa
Na ukitaka kuwavuruga CCM waulize nyumba ilikua na CCTV au lah? Nani aliondoa CCTV? Walinzi walikua wapi siku ya tukio? HahhaahhahaUkitaka kuwavuruga chadema waambie wamtoe dereva wa Lissu
Wasanii hawa,huyo mkuu wa kikosi cha utesaji viongozi kigaila,angefanya la maana sana kama angetangaza kumtoa dereva ili ahojiwe