Recent content by Kasiane

  1. Kasiane

    Leo nimemsaliti mpenzi wangu sasa roho inaniuma hadi nakosa amani

    Kwani ameondoka na dushe lako? Au ameacha alama, acha kuwaza ujinga bwana
  2. Kasiane

    Tangazo kuhusu wahitimu wa shahada na stashahada za ualimu (sayansi) waliotakiwa kuwasilisha vyeti

    Wewe ni msomi na hauna elimu. Umefika chuo unauliza eti ukituma email siku za weekend itafika au utume workday ndio ifike. Ujui jinsi ya kuscan document.
  3. Kasiane

    Tangazo kuhusu wahitimu wa shahada na stashahada za ualimu (sayansi) waliotakiwa kuwasilisha vyeti

    Eti huyu nae ni mwalimu, aje afundishe mtoto apate division one.
  4. Kasiane

    Hivi wanawake wa Dar huwa mnatuchukuliaje wanaume wa mikoani?

    Wanawake wa dar wana masauti mabaya, mabase kama wanaume jumlisha na kilafudhi chao kile cha kipwani yani hadi kero. Na tabia yao ya kupepesa macho kwa kila mwanaume.
  5. Kasiane

    Msaada wa Imani

    Wakristo wenzangu, hebu acheni kubishana na hawa wana wa giza kwa kuwa walikwisha laaniwa kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu huu. Analeta mada hapa ili waonekane wao ndio wenye hekima zaidi na wamechagua fungu lililo jema kumbe ni baya. Watu wanaoamini katika kusaidiwa na pepo wachafu(majini)...
  6. Kasiane

    Walokole, Wapentekoste na wasabato hupata wapi majina ya kubatiza watoto wao?

    Kumbe MASADUKAYO bado mpo hadi leo. Kwa kristo hakuna kifo, kama unaamini katika kufa pole sana ndugu
  7. Kasiane

    Walokole, Wapentekoste na wasabato hupata wapi majina ya kubatiza watoto wao?

    Mbona wainjili mathayo, luka, marko na yohana wanaitwa watakatifu. Ni nani aliyewapa huo utakatifu na bado mnatumia injili zao nyie walokole ambao hamuamini katika utakatifu
  8. Kasiane

    Barua ya TANESCO hii Hapa kwenda EWURA na Wizara ya Muhongo; Muhongo na Bosi Wako Muogopeni Mungu!

    Mimi mwenyewe nilikuwa na wazo hilo mkuu so utekelezaji inabidi uaze mara moja
  9. Kasiane

    Halmashauri ya Jiji la Arusha chini ya CHADEMA yatoa mikopo ya 624mil kwa wanawake na vijana

    Nikikujibu nitakuwa najishushia hadhi, maana sinaga tabia ya kujibizana na mashetani.
  10. Kasiane

    Halmashauri ya Jiji la Arusha chini ya CHADEMA yatoa mikopo ya 624mil kwa wanawake na vijana

    Heee nani ana huo muda wa kusoma iyo takataka
  11. Kasiane

    Waziri Muhongo aipiga 'stop' EWURA kupandisha bei(mpya) ya Umeme

    Bado ninaendelea kufuatilia comments zako za kutugawa kikabila na sio mara moja au mbili tu umekuwa ukichochea chuki za kikabila. Hata mimi ni mwanachama kindakinda wa CCM lakini kwenye ubaguzi unaouendekeza sitokuunga mkono hata kidogo. Ubaguzi ni kama saratani, unakula kimya kimya siku...
  12. Kasiane

    Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

    Sasa kama mambo yao yapo wazi, mbona mtoa mada anasema mambo yao yanafanywa kwa siri kubwa?
  13. Kasiane

    Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

    Na wewe ni agent wa shetani. Kwanini usitumie makala kama hii kusifu uweza na utukufu wa Mungu badala yake unasifia kazi za shetani. Kizazi cha nyoka kitataka ishara za kimungu na wala akitaona bali kitapata ishara za kishetani.
Back
Top Bottom