R.IP. Brother Kuga Mziray!
You've run a tough race in life...You've Completed your Part in this World.
Most importantly You placed yourself to fight and realize the wellbeing of our Society...
Those who heard your voices and struggles will cherish your Humanity!
May The Lord Rest Your Soul in...
Ama kweli bashiteb ni zeroooo! anaulizwa maandazi...anajibu mmma! wajinga ni wale waliompa nafasi ya kupoteza muda na kuzungumzia utumbo wa panyaaa! ....maana huyo sidhani kama unalika!
Nakumbuka yule ... Attorney General wa UK aliyekutwa kwa maeneo ya ...red street...Wala Mkuu hahitaji barua ya kujiuzulu...soon kutakuwa na jina jipya... life goes on!
Safari yetu ni ndefuuuuu....! Hata Dira ya Taifa Hatuijui.... Nchi ya zima moto! Sasa wiki kadhaa zimepita ati wakuu wa wilaya wanavuna bangi.... Aliyetusomea majina... japo yale ya faili la mwisho yakamshinda...ati kasepa...
" Kuntukana mamba ungali ng'ambo hii...ni nomaaa!
Sijui Uhuru Wetu miaka zaidi hamsini... Tumefikia wapi??? Hakuna maji... Dawa.. Vyoo... Mahindi yanakauka shamba kwa sababu yatastawi tukimwomba Mola makanisani na Misikitini...! Nchi Nzima Inarindiima... Ati Makonda kapata msokoto nyumbani kwa Wema... Sisi nafikiri ukaribu Wetu na ngedere...
Sijui Uhuru Wetu miaka zaidi hamsini... Tumefikia wapi??? Hakuna maji... Dawa.. Vyoo... Mahindi yanakauka shamba kwa sababu yatastawi tukimwomba Mola makanisani na Misikitini...! Nchi Nzima Inarindiima... Ati Makonda kapata msokoto nyumbani kwa Wema... Sisi nafikiri ukaribu Wetu na ngedere...
Mtu wa kuhurumia ni Lundenga! he has been caring this beauty pageant event for years now! He has gone through queer times faced by some irregularities! Some of his products have been well successful after winning the Miss Tz Crown, some have shown some cheek melancholies! This is the Man's...
Tatizo ni ulimbukeni! Dini za ukirsto zimeanZ zama za kale wakati mababu zeru wakijicha mbuzi na ng'Ombe kwa matambiko! Hata kitu kina itwa Mungu na pamba walikua hawakijui! Leo wamejua kusoma biblia ! Wananatapeli watu ati ni maaskofu! Umaskini wetu unatusumbua saaaaaana! Anagalia wenzio...
Tatizo tunaendekeza vijiaskofu uchara na vishehe ubwabwa! Ndio ujkija kusikia mtu anadirki kuchija binaadama mwenziwe atI kwa sababu kachinja ng'ombe! Watu kama hao akina upako lwakatare na weziwe , sio wakukamatwa tuu! Bali wanatakiwa ni kupigwa viboko kwa sana waende wakawaonyeshe wake zao...
habari za kushangaza kutoka jiji la Mwanza! Jiji lenye wakazi wengi la pili nchini ! Hivyo ni jiji lenye mwammko mkubwa katika masuala ya kisiasa!!! Cha kuchangaza ni kwamba tangu jumapili ya 23th October, umeme hukatika kunako masaa ya jioni! leo tarehe 28 pia !! Je hii ni ishara gani katika...
She's just a sex maniac " Wild at Heart" After all , who the hell in Tz knows bout music nowadays! U jst squeeze your nose and sing a shit out of you and you're a star!
Ukweli ni kwamba bw. Lowasa hakutamka neno lolote la ajabu kwenye kikao chao nyeti! Alichosema ni kunyenyekea tu mbele ya "Mkulu" na wajumbe wenzake huku akijuta na kusaga meno! maana anajua fika kwamba " hatma' yake ipo mikononi kwa hao wana CCM wa "inner circle"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.