Ukatikaji wa umeme jiji la Mwanza

Kashogi

Member
Feb 8, 2008
18
4
habari za kushangaza kutoka jiji la Mwanza! Jiji lenye wakazi wengi la pili nchini ! Hivyo ni jiji lenye mwammko mkubwa katika masuala ya kisiasa!!! Cha kuchangaza ni kwamba tangu jumapili ya 23th October, umeme hukatika kunako masaa ya jioni! leo tarehe 28 pia !! Je hii ni ishara gani katika masuala ya kuhesabu kura ???? Twategemea kura zitahesabiwa mpaka usiku!!!! je vituo vyoye vya kupigia kura kuna msaada wa genereta au tochi au karabai za ziadaaaa!!!!
Kitendawili cha "KATA UMEME"
 
Kura zitaanza kupigwa saa 1 asubuhi hadi saa 10 jioni, Kuna masaa 3 ya kuhesabu kura bila taa kuhitajika, lakini ni vema tochi na taa za kandili zikawepo.
 
Angalieni vituo hewa huko milimani ndo kwenyewe. Maeneo ya bugarika huko, mahina, mabatini juu kuweni makini. Kuna vituo hewa kibao Shinyanga, majina ya watu yanapatikana zaidi ya kituo kimoja.
 
Back
Top Bottom